Most university students think dat university is a factory 4 mariage.WHY?

mparestina

Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
10
Reaction score
8
Yaana kinachonishangaza, kila unayeongea naye, anasema mwaka wa tatu usiishe kabla cjapata mke/mme, sasa nashindwa kuelewa hv huko mtaan hamna wachumba, au ndio vyuoni kumegeuka kuwa INDUSTRY 4 Mariage?

Nisaidieni hl wasomi wenzangu.
 
Msomi mwenzangu tatizo lako ni nini? Si wao wamechagua ufikapo mwaka wa 3 wanafunga ndoa. Wataona mziki wake wakati huo wanatafuta kazi
 
yaana kinachonishangaza,kila unayeongea naye,anasema mwaka wa tatu uciishe kabla cjapata mke/mme,sasa nashindwa kuelewa hv huko mtaan hamna wachumba,au ndio vyuoni kumegeuka kuwa INDUSTRY 4 Mariage?nisaidieni hl wasomi wenzangu.

Maisha hayana formula mdogo wangu. So hao wanaosema "lazima mwaka wa tatu blah blah blah" nadhani wanalazimisha yawe na formula
 
Tunahitaji takwimu za walioowa na kuolewa 3rd year.

Vinginevyo hayo ni ya mtaani tu.
 
Vifupisho vyenu bwana, mnamaliza stimu kabisa
 
Kwa wanawake sawa, hao wanaume, ambao hata kazi hawana nao wanasema hayo? jana kulikwua na thread inayosema kwa nini wanaume wanachelewa/wanasita sana kuoa! Inapingana kabisa na hili!

Jambo la msingi, kabla hujafikiria ndoa, kuna mambo ya muhimu lazima yatimie, ikiwa na pamoja na kupata mchumba mwenyewe....

believe it or not, University life is fully of fantasy.... njooni mitaani mtaona reality.....
 
No comment,
niko 3rd yr, natafta mke! Afta ol nina kaz and my age count!!
 
Msomi mwenzangu tatizo lako ni nini? Si wao wamechagua ufikapo mwaka wa 3 wanafunga ndoa. Wataona mziki wake wakati huo wanatafuta kazi

kila mtu atatoka kivyake kama ulipata tabu wakati wa kutafuta kazi usidhani kuwa kila mtu lazima apitie njia ambazo umepitia wewe
kila shetania na mbuyu wake
 
Hao wanaosema hayo wana muda wa kuyasema, kama wangekuwa wanabanwa na masomo sidhani kama wana muda wa kutafuuta wachumba, and I guess si faculty zote zenye wawazao ndoa mwisho wa course!
 
kila mtu atatoka kivyake kama ulipata tabu wakati wa kutafuta kazi usidhani kuwa kila mtu lazima apitie njia ambazo umepitia wewe
kila shetania na mbuyu wake


Ni kweli tunatofautiana wengine huwa wanapata mapema sana kazi.ukimaliza chuo na ukapata kazi haraka shukuru sana.
 
Ukubwa dawa!!maisha ya kichina,ya kuchonga,ya bandia,maisha artificial ndo maisha ya uanafunzi pale "at the hill",full of illusions!

Ndugu zetu,huku mtaani ndo kuna shule ya maisha halisi,na kuzingatia hali ya maisha ilivyo na ugumu wa soko la ajira huku mtaani yawezekana waliowatangulia walioa/kuolewa hapo chuoni lakini hili kwa sasa si ideal tena,specially to men,unless otherwise you belong to bourgeoisie class! Ni sisi,ndugu zenu,wasomi wenzenu!
 
Matatizo mengine ya vijana!Mara nyingi hili ni tatizo kubwa sana!
 
I personally don't see any problem. Na naungana na vijana wenye mtazamo huo. Kwani hiyo ndio age ya kujenga serious relationship. Maisha si ya kufanya one thing at a time. Eti nimalize shule, nitafute kazi, nijenge ndio nioe. Nani kasema. Ninawajua wengi waliooana soon baada ya kumaliza shule na maisha yao ni more than supper kwani wameanza maisha pamoja na mtaji wao ni elimu. Mwaweza oana msizae mpaka mtakapopata kazi.

Wasichana (hata wavulana) wengi ambao wanakosa kuwa na serious partner mpaka wanamaliza chuo wanapata tabu sana kupata right candidate kwani kitaani ni ngumu kujua tabia ya mtu.

Ndio pale unaposikia fulani kaoa/ kaolewa kila mtu anashika kichwa nani kauvaa mkenge. Watu wenye tabia mbaya ni rahisi kuolewa na wasiowajua. Kwa hiyo vyuoni ni sehemu nzuri ya kupata partner. Na kitaani ni sehemu ambayo si rahisi kujua tabia ya unayemuoa.
 
Reactions: 3D.
Yaana kinachonishangaza, kila unayeongea naye, anasema mwaka wa tatu usiishe kabla cjapata mke/mme, sasa nashindwa kuelewa hv huko mtaan hamna wachumba, au ndio vyuoni kumegeuka kuwa INDUSTRY 4 Mariage?

Nisaidieni hl wasomi wenzangu.

umefanya utafiti kama msomi? ama umeamua kukurupuka tu
 
chuo ni step ya kwanza ya kuwa huru kwenye maisha kutoka kwenya khali ya kubanwa na kuwa huru pia chuo ni sehemu ambayo inafungua picha mpya katika mahusiano sababu ukaribu unakuwa wa hali ya juu n levl ya mapenzi inapanda so m2 anaona ni sehemu ya kupata mahusiano imara ambayo yanaleta ndoa
 
Reactions: 3D.
siongei sana, ombeeni mawazo yenu kabla ya kuyaweka wazi. You still have al ong way to go my dear friends, ndoa si mchezo kama vile manyofikiri. Unahitaji mtaji mkubwa wa hekima/heshima na kuwekeza kwenye mambi ili upate right candidate.

Wenye nia njema nawatakia kila kheri!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…