Mother house kila akiona nimeingiza totoz ghetto kwangu ananuna?

tang'ana

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2015
Posts
11,931
Reaction score
15,849
Wakuu shikamoon?

Nimepanga nyumba ambayo tunaishi pamoja na mother house ,huyu maza ni mtu mzima tu around 60+,anaishi na mabinti zake ambao ni warembo kama yeye, huyu maza tunaheshimiana sana.

Sasa among wapangaji wake walio single na mdogo kuliko wote ni mimi as wapangaji wenzangu wote wako 40+ na wako na familia zao,ametokea kuelewana sana na mimi kias kwamba ananitreat kama mwanae.

Changamoto iliyopo ni kwamba kila akiona nimeingiza totoz ghetto ananinunia..nashindwa kumuelewa.

So wakuu nifanyaje au nihame hapa?
 
Au sio kwamba ana mabinti warembo .
 
We hama maana kuna siku atashikwa na hasira na kuja kukub*ka
 
Mama miaka 60 mrembo


Mkuu unatamani mpaka Granny landlady
 
Mama wa miaka 60 ni mrembo??..amaizing
Ni kawaida,mbona Sara alikuwa na miaka 95,,na Abrahamu alipoenda nae Gaza,,mfalme wa Gaza,bwana Abu Malki,akamtamani na Kama sio kuoteshwa kuwa Sara Ni mke wa Abraham na sio dadake,Abu Malki angekula mzigo,kiroho Safi.
 
wa kwanza kamaliza chuo mwaka juzi ila hana mishe yoyote, wa pili kamaliza chuo mwaka jana nae bado hajapata mishe za kueleweka..
anahitaji ujiongeze kwa mabinti zake huyo...
 
isijekuwa ushalamba watoto zake halaf unajifanya kuwapotezea na kuingiza mademu wengine...
 
Wewe mwenyewe je umemaliza darasa la ngapi?
Na unafanya kazi gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…