Mother, mother, why, why was I born Black?

<br />
<br />
Haya nakupa idea nyingine,

Is it possible kwa Mheshimiwa rais kuongoza nchi effectively while he is just traveling kila paitwapo leo? Is possible? Pres dar mwenyewe mtu wa kuchekacheka do you think wauza mafuta wataona yuko serious na ishu alioitangaza ya kushusha bei ya mafuta?

Is it possible?
 
Mkuu tatizo kwa sasa sijui kama wanavisoma kama kile cha Okonkwo sikumbuki title yake &lt;br /&gt;<br />
na kile cha mmasai na elimu
<br />
<br />
haaah haaah umenifurahisha.... mmasai na elimu haaah haah mkuu ni IS IT POSSIBLE?<br />
Then kuna...3 suitors 1 husband.
Pia kuna Unaswered cries ni hv vya karibuni. Kisw kuna Takadini.
Nitarudi midamida acha nikapige pindi madogo kwanza.
 
<br />
<br />
we utakuwa mwalimu wa tempo.
 
Umenikumbusha mbali sn FB!!! Enzi hzo nameza mistari ya structure ha ha ha ha ha!!!
 

Mkuu siku hizi vimebadilika sana huwezi kujua hata kitabu kipi kinatumika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…