N'yadikwa JF-Expert Member Joined Aug 10, 2014 Posts 7,427 Reaction score 10,905 Dec 4, 2019 #1 Kikwetu tunasema 'kwitongo' na 'pamwambo' hiyo ni Mbeya mixer Nyaluland. Haya kikwenu ng'ambo kwa Kilugha chenu mnaitaje? Waliozaliwa mijini na hamjataka kujifunza lugha ya mama mtakuwa fans! Tiririka mwanawane
Kikwetu tunasema 'kwitongo' na 'pamwambo' hiyo ni Mbeya mixer Nyaluland. Haya kikwenu ng'ambo kwa Kilugha chenu mnaitaje? Waliozaliwa mijini na hamjataka kujifunza lugha ya mama mtakuwa fans! Tiririka mwanawane
Auz JF-Expert Member Joined Apr 6, 2016 Posts 13,539 Reaction score 11,419 Dec 4, 2019 #2 Ng'ambo si ni Kiswahili tayari?
Mla Bata JF-Expert Member Joined Jan 24, 2013 Posts 7,841 Reaction score 17,491 Dec 4, 2019 #3 "Ng'ambo kikwenu mnasemaje kwa kiswahili" Anza kutafsiri hapa kwanza mkuu.
N'yadikwa JF-Expert Member Joined Aug 10, 2014 Posts 7,427 Reaction score 10,905 Dec 4, 2019 Thread starter #4 Typo mkuu nilisharekebisha Auz said: Ng'ambo si ni Kiswahili tayari? Click to expand...