Baada ya kile kinachodaiwa kushindwa kwa serikali legelege ya wanafunzi wa kitivo hicho, kusimamia msimamo wao wa wazirl mkuu mh.Pinda kuongea na wanafunzi wote,vilevile hasira kali zimeibuka miongoni mwa wanafunzi hao kwa kudai kudharauliwa na waziri mkuu.wanadai kuwa wamemsubiri kwa takribani wiki nzima na matokeo yake amewapita kama vile mtalii anavyoangalia wanyama mbugani.
Mtupole, Una uhakika??.. be sure of what ur posting!....HII THREAD IMEANDIKWA NA MWANAFUNZI WA CHUO CHA KATA. Kumbuka huo mgomo ni wa WAHADHIRI na sio wa WANAFUNZI.