zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Whatever the case wote tunajua Samia atachukua fomu 2025 na hakuna mwingine atakayepewa. Sasa Kama kina Polepole na Bashiru wanajua Hilo (Maana 2020 pia walizuia wengine kupewa fomu) why wasianzishe chama?Kwanini waanzishe chama? Kwani CCM ni wamoja kiasi hicho?
Kuna wanaolalamika sasa kama wana CCM?
Nani anayenufaika na haya yanayoendelea?
Ndoto ya mchanaJamani jamani nimeinyaka nimeinyaka jamani Busara ni muhimu jamani humo ndani ya cc kimenukishwa na Mzee wa Msoga kama vile kanusa kama nabii akasema jamani jamani.
Ni hivi wenye nguvu ndani ya chama wanataka haki itendeke come juwa come rain wanataka kujua ni jambo gani Hayati JPM na Mzee Mkapa walifanya wakastahili kubezwa na kurushiwa vijembe after all good things they done for this nation?
Watu wameenda mbali na kubadilisha picha na sasa watu wanaangaliana red eyes kuwa hawa wazee kulikuwa na plot to assassinate plz do not quote me.
Mmmmmmmmmmmm ile kauli ya Mzee wa makatibu wema hawafi ndio imeamsha hisia Kali ndani ya chama na let pray some thing bad is near to come.
Tetesi zisizo Rasmi jamani narudia kama nabii wa Taifa nilioko nyuma ya computer...... Wanasema wanasema eti ....…........ Liwe ............ Meza ipinduliwe.........,......... Sio zam yao............... Why....................... Yaaniiiiiiiiiii hali tete..,........ Ndio maana kumbe aina fulan ya watu ........... Hawaguswi ....,...........🤐🤐🤐🪑🪑🪑😭😭😭 Jamani naomba ulinzi🤭
Wazee wengine Kama Marop kuropoka kwao kwaweza leta bad image. Ni full uchochezi. Mzee ambaye Ni hazina lazima achunge ulimi wake kwa kila akiongeachoMuwe na Heshima wazee Ni hazina
Let us be serious huo muda huwa haufiki! Tangu 1995 hadi leo ni ile hadithi ya fisi kuusubiri mkono wa mlevi kuwa utadondoka!Laana inawatafuna CCM
Niliwahi sema na leo narudiia: Mungu kawaanyima maarifa ili muanguke na ni swala la muda tu.
Kama yusf makamba.Sio kila mzee ni tunu, wazee wengine ni mavi matupu
Jana Kikwete kawaambia muache Uchimvi na Uongo;Jamani jamani nimeinyaka nimeinyaka jamani Busara ni muhimu jamani humo ndani ya cc kimenukishwa na Mzee wa Msoga kama vile kanusa kama nabii akasema jamani jamani.
Ni hivi wenye nguvu ndani ya chama wanataka haki itendeke come juwa come rain wanataka kujua ni jambo gani Hayati JPM na Mzee Mkapa walifanya wakastahili kubezwa na kurushiwa vijembe after all good things they done for this nation?
Watu wameenda mbali na kubadilisha picha na sasa watu wanaangaliana red eyes kuwa hawa wazee kulikuwa na plot to assassinate plz do not quote me.
Mmmmmmmmmmmm ile kauli ya Mzee wa makatibu wema hawafi ndio imeamsha hisia Kali ndani ya chama na let pray some thing bad is near to come.
Tetesi zisizo Rasmi jamani narudia kama nabii wa Taifa nilioko nyuma ya computer...... Wanasema wanasema eti ....…........ Liwe ............ Meza ipinduliwe.........,......... Sio zam yao............... Why....................... Yaaniiiiiiiiiii hali tete..,........ Ndio maana kumbe aina fulan ya watu ........... Hawaguswi ....,...........🤐🤐🤐🪑🪑🪑😭😭😭 Jamani naomba ulinzi🤭
Rais Samia Suluhu anabusara za kutosha na ndio maana tuliona ametengua kauli ya yule mzeeJamani jamani nimeinyaka nimeinyaka jamani Busara ni muhimu jamani humo ndani ya cc kimenukishwa na Mzee wa Msoga kama vile kanusa kama nabii akasema jamani jamani.
Ni hivi wenye nguvu ndani ya chama wanataka haki itendeke come juwa come rain wanataka kujua ni jambo gani Hayati JPM na Mzee Mkapa walifanya wakastahili kubezwa na kurushiwa vijembe after all good things they done for this nation?
Watu wameenda mbali na kubadilisha picha na sasa watu wanaangaliana red eyes kuwa hawa wazee kulikuwa na plot to assassinate plz do not quote me.
Mmmmmmmmmmmm ile kauli ya Mzee wa makatibu wema hawafi ndio imeamsha hisia Kali ndani ya chama na let pray some thing bad is near to come.
Tetesi zisizo Rasmi jamani narudia kama nabii wa Taifa nilioko nyuma ya computer...... Wanasema wanasema eti ....…........ Liwe ............ Meza ipinduliwe.........,......... Sio zam yao............... Why....................... Yaaniiiiiiiiiii hali tete..,........ Ndio maana kumbe aina fulan ya watu ........... Hawaguswi ....,...........🤐🤐🤐🪑🪑🪑😭😭😭 Jamani naomba ulinzi🤭
Hahahha watu wameshazoea kusema mambo waso na uhakika nayo lakini Kikwete alicho sisitiza ni kwamba 2025 hakuna mgombea mwingime zaidi ya Rais Samia SuluhuJana Kikwete kawaambia muache Uchimvi na Uongo;
Hapajakucha mmeshasahau ujumbe,
Kweli Chama cha Mambuzi
Unatoa wapi ”guts" za kusema wazee dizain ya Marope ni hazina na wanahitaji kuheshimiwa?Muwe na Heshima wazee Ni hazina
Chawa huzeeka piaMuwe na Heshima wazee Ni hazina
Imagine hao ndo wazee wa chama, alafu mtu aseme kuna democrasia ndani ya CCM mm nakataa.Hahahha watu wameshazoea kusema mambo waso na uhakika nayo lakini Kikwete alicho sisitiza ni kwamba 2025 hakuna mgombea mwingime zaidi ya Rais Samia Suluhu
Huyu mmeo hajulikani hapa kijijini ndio Nani hivi mkuuWeweseko la Ben sanane
Kama wewe Ni wa kijani na unanyonya wananchi unajifariji mkuu. Sembuse ccm isianguke. Unaipata Roman, ottoman,empire zilikuwaje na mwishowe wake ulikuwajeLet us be serious huo muda huwa haufiki! Tangu 1995 hadi leo ni ile hadithi ya fisi kuusubiri mkono wa mlevi kuwa utadondoka!
Hapo imekosekana castle.lite
Kama kweli Jiwe alipotezwa na kundi fulani ndani ya Chama chake mwenyewe kama wanavyotuaminisha, ilikuaje basi Hilo kundi likafanikiwa wakati hawakuwa na Amri kwa Vyombo vya Dola?Exactly. Hawa wananogesha genge tu, anayeweza kutoa amri kwa vyombo vya dola ndio mwenye maamuzi ndani ya CCM.