Tetesi: Moto unawaka katika hifadhi Mlima Kilimanjaro muda huu

Tetesi: Moto unawaka katika hifadhi Mlima Kilimanjaro muda huu

chakii

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
20,834
Reaction score
26,217
Habari wakuu,

Kuna taarifa za moto kuwaka katika hifadhi ya mlima Kilimanjaro muda huu, gari la kuzima moto limefika eneo la tukio lakini hawajafanikiwa kuuzima.

Inasemekana moto unawaka karibu kabisa na Hoteli ya Mhe Mengi.

Kama taarifa hizi zitathibitishwa basi Mungu atuepushie hili balaa na madhara yasiwe makubwa.
 
Ndio maana mvua hazinyeshi. Binadamu tunaharibu mazingira kwa ajili ya kuwinda digidigi na sungura!!!!!!!!!!!!


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
kama kweli huo mlima unaungua lazima utakuwa umechomwa makusudi na bifu kubwa litakuwa ni kwenye maswala ya utalii.
 
Tatizo pia ni uhaba wa mvua , nyasi zinapokuwa kavu hata jivu la sigara laweza kuwa chanzo cha moto
 
Habari wakuu,


Kuna taarifa za moto kuwaka katika hifadhi ya mlima Kilimanjaro muda huu, gari la kuzima moto limefika eneo la tukio lakini hawajafanikiwa kuuzima.


Inasemekana moto unawaka karibu kabisa na Hoteli ya Mhe Mengi.


Kama taarifa hizi zitathibitishwa basi Mungu atuepushie hili balaa na madhara yasiwe makubwa.

Gari la zima moto moja!. HiviMagari ya maji ya kuwasha ambayo hayana idadi!, hayawezi kutumika kwenye shughuli za uokoaji?
 
Gari la zima moto moja!. Magari ya washawasha hayana idadi!.

Labda wapeleke na hayo magari ya washawasha yakasaidizane kuuzima!

Tuseme nini sasa?

Ni kweli endapo kama idadi ya magari ya maji washa yaliyonunuliwa mwaka 2015, ingekuwa ni magari ya zimamoto..... Tanzania tungekuwa mbali na moto kama huu ingekuwa ni jambo la mudamfupi kuuzima.

Tulitumia pesa ningi kununua magari ambayo hata hayafanyi kazi.
 
Ni kweli endapo kama idadi ya magari ya maji washa yaliyonunuliwa mwaka 2015, ingekuwa ni magari ya zimamoto..... Tanzania tungekuwa mbali na moto kama huu ingekuwa ni jambo la mudamfupi kuuzima.

Tulitumia pesa ningi kununua magari ambayo hata hayafanyi kazi.

Yanafanya kazi ya kulinda maslahi ya genge dogo ambalo ndicho kipaumbele cha watawala. Hapo pata picha kwamba Umma na maslahi yake siyo kipaumbele. Kipaumbele ni maslahi yetu hata kama ikibdi wananchi wote wapotee!
 
Habari wakuu,

Kuna taarifa za moto kuwaka katika hifadhi ya mlima Kilimanjaro muda huu, gari la kuzima moto limefika eneo la tukio lakini hawajafanikiwa kuuzima.

Inasemekana moto unawaka karibu kabisa na Hoteli ya Mhe Mengi.

Kama taarifa hizi zitathibitishwa basi Mungu atuepushie hili balaa na madhara yasiwe makubwa.


Duh! Hujuma hizo!
 
naona moto unawaka katika msitu wa mlima kilimanjaro muda huu
 
Nakumbuka aina hii ya moto miaka ya 90.
 
Ndio maana mvua hazinyeshi. Binadamu tunaharibu mazingira kwa ajili ya kuwinda digidigi na sungura!!!!!!!!!!!!


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
Neno moja pia kwa Wale wanaojisaidia porin unawambiaje?
 
Habari wakuu,

Kuna taarifa za moto kuwaka katika hifadhi ya mlima Kilimanjaro muda huu, gari la kuzima moto limefika eneo la tukio lakini hawajafanikiwa kuuzima.

Inasemekana moto unawaka karibu kabisa na Hoteli ya Mhe Mengi.

Kama taarifa hizi zitathibitishwa basi Mungu atuepushie hili balaa na madhara yasiwe makubwa.
Tunaishukuru serikali ya awamu ya 5 kwa huu moto unaondelea kuwaka mlima Kilimanjaro. Hii inaonesha tumeingia uchumi wa kati haswa
 
Habari wakuu,

Kuna taarifa za moto kuwaka katika hifadhi ya mlima Kilimanjaro muda huu, gari la kuzima moto limefika eneo la tukio lakini hawajafanikiwa kuuzima.

Inasemekana moto unawaka karibu kabisa na Hoteli ya Mhe Mengi.

Kama taarifa hizi zitathibitishwa basi Mungu atuepushie hili balaa na madhara yasiwe makubwa.
Habari iakuwa na uzito zaidi ikiwa na picha.
Weka picha
 
Back
Top Bottom