Moto unawaka ndani ya Kiwanda cha Cotex cha Africana (Dar es Salaam)

Moto unawaka ndani ya Kiwanda cha Cotex cha Africana (Dar es Salaam)

Nyakijooga

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2018
Posts
276
Reaction score
473
IMG_20241128_185958_894.jpg

IMG_20241128_185958_363.jpg
Sehemu ya majengo ya Kiwanda cha Chemicotex kilichopo Mbezi Beach Africana, Dar es Salaam yanaungua na moto muda huu.

Kiwanda hicho kinashughulika na uzalishaji wa bidhaa mbalimbali ikiwemo vifungashio vya bidhaa mbalimbali kwa kutumia plastic pamoja na bidhaa nyingine.
IMG_20241128_190756_531.jpg

IMG_20241128_190756_708.jpg
 
Poleni sana.. mwisho wa mwaka majanga ni mengi mno
 
Duuuuu sasa wafanyakazi posho zao watalipwa lini tena???
Maana kuna wale vibarua wanaolipwa kwa week acha wale wa kulipwa kila siku na wale wa mwezi
 
Watu wameshalipa sana bila ya kujikinga na moto. Wanataka hela yao sasa
 
Back
Top Bottom