Moto wa kweli wawaka: Walokole na Mchawi walipopambana Dar

Moto wa kweli wawaka: Walokole na Mchawi walipopambana Dar

Mh!Inachekesha sana,hawa jamaa utafikiri machizi!,Tunachukuru kwa picha mtoa ujumbe!
 
Ah! Mi sijui ma-eyes yangu yako na problem sioni kitu mbona??:mmph::mmph:
 
Mie nina adobe flash player the latest, lakini kuna picha nyingi humu JF huwa sizioni, sijui ni tatizo la wanavyofanya photo uploading! hata hii sioni kitu.
kama huoni jaribu kuwaona wahusika humu ndani wataweza kukusaidia muone Mkuu invisible
 
Ngoja nifanye UKABILA heheheheeeeeee.......

Huyu Mganga wa Tabora sehemu iitwayo Itaga anasema kweli ....

Muwamba ngoma huvutia kwake.......... Msiniulize zaidi.
 
Ngoja nifanye UKABILA heheheheeeeeee.......

Huyu Mganga wa Tabora sehemu iitwayo Itaga anasema kweli ....

Muwamba ngoma huvutia kwake.......... Msiniulize zaidi.

Mkuu Sikonge inaonyesha wewe mtu wa Tabora kasheshe kweli kwenu huku kuna waganga heavy
 


Samahani jamani, hivi ni macho yangu au ni nini? Huyu mganga amevaa nyoka toka tumboni, kifuani kupitia shingoni na hatimaye sikioni? Nimeogopa sana duh!!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom