Mtaalamu wa siasa za Tanzania yupo Uingereza. Inakatisha tamaa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mtaalamu wa siasa za Tanzania yupo Uingereza. Inakatisha tamaa.
Muwe mnatoa shikamoo humu.dah hyu faza odinga mwanaharakat kwel nilianza msikia nipo form one.... 2007
ahaaa ko kusema form one 2007 tabu nilimkjua 2000Muwe mnatoa shikamoo humu.
The constitution is very clear on what happens after the results are announced. Nobody in Kenya has the capacity to overthrow the constitution. I don't want to imagine the anarchy that would ensure should the constitution not be followed. There won't be time to call the international community, so it's better we just follow the constitution and not get ahead of it or ignore.
Na mbona siku zote nyie watalaamu wa mambo ya kenya mfano mtoa mada uzi huu mtanzania!!! Dunia kijiji kimoja enzi za utanda wazi. hakuna pa kujificha!!!
Shikamoo baba mdogo.Muwe mnatoa shikamoo humu.
LoolEti kuna tetesi raila ame engineer mgomo wa madaktari....
Umeongea point, mbona Marekani sioni wagombea wakijirudia?Hivi huyu raila anatofauti gani na maalim seif sharif hamad? Nimeanza kumsikia miaka mingi anagombea urais kenya hapati. Hivi kwanini wa afrika tunapenda sana Madaraka hata kama hatuchaguliwi tunalazimisha why? Ni laana au nini hasa?
Hahaha....kwa hivyo unakubaliwa kupata taarifa likini kuitadhimini hujakubaliwa. Mtaalamu mgani mambo ya Kenya. Debe you ya propaganda kuhusu Kenya kwa taarifa yako!!!! Pia huyu mwingireza hajasema kama sio mtaalamu wa mambo ya tzDunia kijiji kimoja ni kwa kupata taarifa, kujua vinavyoendelea upande mwingine ambao haupo.
Ila kua mtaalamu kabisa hapo ndiyo nashangaa.
Mleta uzi hajasema kama yeye ni mtaalamu wa siasa za Kenya.
Kama ni miaka mingi labda ulikuwa unamsikia baba yake RailaHivi huyu raila anatofauti gani na maalim seif sharif hamad? Nimeanza kumsikia miaka mingi anagombea urais kenya hapati. Hivi kwanini wa afrika tunapenda sana Madaraka hata kama hatuchaguliwi tunalazimisha why? Ni laana au nini hasa?
Hahaha....kwa hivyo unakubaliwa kupata taarifa likini kuitadhimini hujakubaliwa. Mtaalamu mgani mambo ya Kenya. Debe you ya propaganda kuhusu Kenya kwa taarifa yako!!!! Pia huyu mwingireza hajasema kama sio mtaalamu wa mambo ya tz
Kiongozi wa Upinzani Raila Odinga, amesema kwamba watatumia Jumuiya ya Kimataifa kumuondoa Raisi Uhuru Kenya kwa nguvu madarakani kama ,,akikataa kukubali matokeo", hii habari kwangu inaonyesha kwamba hali siyo nzuri nchini Kenya, nionavyo mimi huu uchaguzi utakuwa mgumu klk hata wa 2007, kwani liwalo na liwe Raila Odinga &Co. wameamua kuingia madarakani na matokeo halisi ya kura hayatajalisha kwani hata kama Uhuru Kenya akishinda bado watakataa matokeo na kusema wameibiwa kura!
Yeye Raila Odinga anasema ni lazima Uhuru akubali matokeo lkn hasemi kuwa yeye kama atakubali matokeo...
Raila Odinga: World will help if Jubilee clings on to power
Truly speaking many Luhya's are voting for Uhuru in the Next election! I was home and believe me even those aspirants are preferring JP which has become popular! They do believe for now their is no any strong politician in the region and they are also drifting away from Raila! Especially in Bungoma like for real! Jp is going to take it strong!!!Day dreaming! I strongly believe the Abuluhya and the Akamba are tired of being used by Raila as their rubber stamp, this time CORD should field either Hon Wetangula/Musalia or Hon Musyoka else Uhuru will scoop over 70% of the electoral votes and clinch the Presidency with easy. Note if you cannot defeat them you better join them, this will be the motto for the two tribes including the Gusiis!God Bless Kenya.
No way Raila lazima ashindwe. Hawezi kuwashinda wakikuyu hata afanyeje. Muunganiko wa Uhuru na Ruto sio rahis kuushinda. Siasa za Kenya ni za kikabila. Hakuna namna unaweza kuwashinda Uhuru na Ruto.