Moto walipuka tena upya ndani ya Mlima Kilimanjaro

Moto walipuka tena upya ndani ya Mlima Kilimanjaro

DodomaTZ

Member
Joined
May 20, 2022
Posts
84
Reaction score
118
Achana na ule moto wa wiki iliyopita, habari hii imeripotiwa tena kutokea usiku wa tarehe 29 Oktoba 2022, kuna nini kinaendelea huko katika Mlima Kilimanjaro? Ni majanga ya kawaida au kuna mikono ya watu?

Habari yenyewe nimeichukua kama ilivyo, hii paha chini

----------------

Moto.jpg

Picha ya moto uliozuka tena upya Ndani ya Mlima Kilimanjaro

Baadhi ya wapanda Mlima Kilimanjaro wameeleza kuwa Moto huo umezuka tena upya baada ya jaribio la awali la kuzima moto.

Wapanda Mlima hao wamesema kuwa Msaada unahitajika Zaidi katika kufanikisha kuzima moto huo.

Chanzo cha habari: Dira ya maishaa
 
Chadema na sukuma geng wanamhujumu mama alisikika mlevi moja akiwa ananuka kikwapa buguruni malapa
 
Achana na ule moto wa wiki iliyopita, habari hii imeripotiwa tena kutokea usiku wa tarehe 29 Oktoba 2022, kuna nini kinaendelea huko katika Mlima Kilimanjaro? Ni majanga ya kawaida au kuna mikono ya watu?

Habari yenyewe nimeichukua kama ilivyo, hii paha chini

----------------

View attachment 2401908
Picha ya moto uliozuka tena upya Ndani ya Mlima Kilimanjaro

Baadhi ya wapanda Mlima Kilimanjaro wameeleza kuwa Moto huo umezuka tena upya baada ya jaribio la awali la kuzima moto.

Wapanda Mlima hao wamesema kuwa Msaada unahitajika Zaidi katika kufanikisha kuzima moto huo.

Chanzo cha habari: Dirayamaishaa
watalam wa moto hawajajuwa chanzo hadi leo nashangaa.
 
Mradi wa watu huo wanataka kuua ili iweje? Watu wanapata pesa hapo sasa ukiungua wote ukabakia majivu watu si watakosa pesa?
 
Jana nimeona unawaka sehemu tatu tofauti asee ule moto utamaliza robo ya msitu maana kwa stage ulipofikia hakuna mtu wa kuweza kuuzima labda uzime wenyewe.
 
Jana nimeona unawaka sehemu tatu tofauti asee ule moto utamaliza robo ya msitu maana kwa stage ulipofikia hakuna mtu wa kuweza kuuzima labda uzime wenyewe.
Huwa najiuliza inakuwaje mlima ambao unachangia pato kubwa sana kutokana na watalii wanaoupanda kusiwe na plan za kununua ndege maalum za kuzima moto?
 
Moto ulisababishwa na matone ya mvua.tone moja tu linaweza kuwasha msitu mzima
 
Moto ni muda sasa unawaka hata ukiwa barabara ya Moshi Arusha unauona kabisa unawaka,
Hizi Habar hadi nchi za magharibi zimefika
 
Royal Tour ikazime moto.

Piraa yuko wapi jamaniii???
 
Moto ni muda sasa unawaka hata ukiwa barabara ya Moshi Arusha unauona kabisa unawaka,
Hizi Habar hadi nchi za magharibi zimefika
Nendeni mkasaidie kuuzima

Kuweni wazalendo

Ova
 
Huwa najiuliza inakuwaje mlima ambao unachangia pato kubwa sana kutokana na watalii wanaoupanda kusiwe na plan za kununua ndege maalum za kuzima moto?
Kule juu kuna maeneo hata kama moto unawaka hakuna namna yoyote ya kukufanya mtu ufike na kwenda kuzima yaani hakuna njia, na kuhusu ndege sijajua maana Jografia ni ngumu.
 
Watu washasahau tozo,mabei ya mabando kweli watanzania Au bhas
 
Wanunue Chopa iwe inazunguka huko wageni wanalipia usd karibu 958$ kwa mgeni mmoja wao hawataki kutoa hata Cent kwa ajiri ya kuutunza huo Mlima..wakiwa na Chopa ni rahisi kuuzima moto wa Milimani kwa kutumia Mchanga au powder waje humu tuwape Elimu ya kuzima majanga makubwa ya moto wa misituni...
 
Back
Top Bottom