Duuuh! UnashangazaMnavamiwa mpaka na maeneo nyeti kama bomu vya nyuklia vinachukuliwa huku washiriks wao NATO wanaona halafu bado kweli Ukraone anaendelea na vita, bora tu jeshi tu Zelensky akubali yaishe Aachie hayo majimbo 4 wale ambao hawatapenda kuwa sehemu ya Russia wahamie Ukraine kama iliyotokea milima ya Golan kuna waarabu walienda upande wa Syria na wengine upande wa Israel na maisha yanaendelea. Kwa mwenendo wa vita Ukraine hawezi kushinda, NATO wanataka uchumi wa Russia irudi nyuma lakini siyo kushinda vita
Killed em all!Ni mojawapo ya vinu vikubwa vya nyuklia Ulaya kilichokuwepo Ukraine kwa ajili ya kuzalisha umeme, kilichukuliwa na Urusi katika uvamizi wa Ukraine na sasa kipo chini ya himaya ya Urusi.
Urusi ina historia mbaya zaidi ya ajali ya nuclear duniani iliyotokea Chernobyl mwaka 1986,
View attachment 3067389
Na udhaifu wake wote huo nadhindwa kuelewa kwa nini NATO wasimvamie mpaka MOSCOW wamfurusheRussia ni dhaifu sana
Ana Manuke atayaachiaNa udhaifu wake wote huo nadhindwa kuelewa kwa nini NATO wasimvamie mpaka MOSCOW wamfurushe
Kwa hiyo kumbe siyo dhaifu ?Ana Manuke atayaachia
si ndio mana waliingia urusi mkuu, au unadhani walikua wanaenda wapi?Ukraine nawao wakachukue kinu cha nyuklia kilichopo pale KURSK
Ili wabalance majambo
Nilijua walikua wanaelekea MOSCOW hehehesi ndio mana waliingia urusi mkuu, au unadhani walikua wanaenda wapi?
sema wameshindwa!