MOTOROLA G84 Ram12 Rom 256

MOTOROLA G84 Ram12 Rom 256

Mike Moe

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2019
Posts
319
Reaction score
335
Habari za muda huu wanajamii kama kichwa cha habari kinavyoeleza ninampango wa kulipia 470,000 kwa simu aina ya Motorola G84 yenye ram12 na rom 256 6.5 inches je kwa bei hiyo ni sahihi au nimepigwa kidogo wakuu simu inayo ya kulipia kwa muda wa miezi 12 yani mwaka mmoja kila mwezi kuna kiasi unatakiwa kulipia Simu ni from Dubai
Ushauri wenu kwa wajuvi ww smartphone kabla sijaruhusu simu kuchukuliwa
 
Simu siyo mbaya kwa budget iyo, sema kama mtu wa magemu itakusumbua kidogo

Kioo ni oled sio kibaya pia ina 30w charge

Screenshot_2025-03-04-13-29-33-50_287c5d8f6b23240192f7b8b0dcae0672.jpg
 
wako wapi hao mkuu nione kama naweza pata na mimi unaweza nipa contact zao.
Ni jamaa yangu yupo dubai anaerequest inaenda kwake then ananitumia mm nakuwa namtumia kwa mwezi hela analipia kwa mwezi ni like 40k
 
Back
Top Bottom