ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Simba wenyewe hawamuamini kule Simba Queens hakuna changamoto kama NBC pia kule ni msasidizi kocha mkuu ni MgosiMi naona Mgunda angepewa Taifa Stars kuliko kuingia gharama za kuleta makocha wa nje,tatizo hatuthamini wazawa, Mgunda na uwezo wake bado hata Simba imempa timu ya wanawake
Sent using Jamii Forums mobile app
Orlando na Kaizer, usisahau mwaka jana Marumo pamoja na kua wanashuka daraja walifika nusu fainali CCC kitu ambacho hapa bongo hakuna timu imewahi kufanya hivyonakupinga mkuu tunazidiana kidogo sana ukiitoa mamelody nitajie timu nyingine yenye maajabu hapo south
Alipwe kama ambavyo wangelipwa makocha wageni,we ukiangalia Mgunda amezidiwa nini na AmrocheWewe pia humthamini huyo mzawa Mgunda. Kwamba makocha wa nje tunaingia gharama hivyo Mgunda yeye ni rahisi, hana thamani ya kuingia gharama akipewa Stars.
Waliwahi kuingia fainali 1998 na kufungwa 3-0 dhidi ya Misrihao akina QUNTON FORTUNE na BEN MACARTHY waliisadia nn bafana bafana
Ubora wa PSL ni mkubwa kushinda NBCTimu yake ya MAMELOD SUNDOWNS inawachezaji wazawa wengi na ndio timu inayofanya vizuri kwa sasa afrika, timu ya taifa ya RSA ni mamelody hiyo hiyo kilichofanyika ni kuwavua jezi na kuwavalisha jezi za taifa,
Hakuna mchezaji anatokea chelsea, liverpol, manchester city wala bayern munich, lakini wamefanya maajabu na wamefanikiwa kuipa thamani ligi yao , soon timu kubwa za ulaya zitahamia south kununua wachezaji,
Jamani tuache kukalili hata sisi tungewaamini wazawa wanaokipiga hapa hapa NBC tungefanya vyema zaidi sikuona sababu ya msingi kuita wachezaji wanaocheza daraja la tano ulaya na wengine wakiwa hawana vilabu vya kuchezea pia sikuona sababu ya kuwa na kocha mwarabu
Yanga si walifika fainali mzee?Orlando na Kaizer, usisahau mwaka jana Marumo pamoja na kua wanashuka daraja walifika nusu fainali CCC kitu ambacho hapa bongo hakuna timu imewahi kufanya hivyo
kukalili ndio nini?Timu yake ya MAMELOD SUNDOWNS inawachezaji wazawa wengi na ndio timu inayofanya vizuri kwa sasa afrika, timu ya taifa ya RSA ni mamelody hiyo hiyo kilichofanyika ni kuwavua jezi na kuwavalisha jezi za taifa,
Hakuna mchezaji anatokea chelsea, liverpol, manchester city wala bayern munich, lakini wamefanya maajabu na wamefanikiwa kuipa thamani ligi yao , soon timu kubwa za ulaya zitahamia south kununua wachezaji,
Jamani tuache kukalili hata sisi tungewaamini wazawa wanaokipiga hapa hapa NBC tungefanya vyema zaidi sikuona sababu ya msingi kuita wachezaji wanaocheza daraja la tano ulaya na wengine wakiwa hawana vilabu vya kuchezea pia sikuona sababu ya kuwa na kocha mwarabu
Upo sahihi Ila ligi ya afrika kusini imeipita ligi ya nbc kwa mbali sana kwa kila idara ufundi , management , sponsor nkTimu yake ya MAMELOD SUNDOWNS inawachezaji wazawa wengi na ndio timu inayofanya vizuri kwa sasa afrika, timu ya taifa ya RSA ni mamelody hiyo hiyo kilichofanyika ni kuwavua jezi na kuwavalisha jezi za taifa,
Hakuna mchezaji anatokea chelsea, liverpol, manchester city wala bayern munich, lakini wamefanya maajabu na wamefanikiwa kuipa thamani ligi yao , soon timu kubwa za ulaya zitahamia south kununua wachezaji,
Jamani tuache kukalili hata sisi tungewaamini wazawa wanaokipiga hapa hapa NBC tungefanya vyema zaidi sikuona sababu ya msingi kuita wachezaji wanaocheza daraja la tano ulaya na wengine wakiwa hawana vilabu vya kuchezea pia sikuona sababu ya kuwa na kocha mwarabu
Waliwahi kuingia fainali 1998 na kufungwa 3-0 dhidi ya Misri