Mourinho ajiandaa kuwa mrithi wa Mauricio Pochettino katika Klabu ya Tottenham Hotspurs

Mourinho ajiandaa kuwa mrithi wa Mauricio Pochettino katika Klabu ya Tottenham Hotspurs

Kurzweil

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
6,621
Reaction score
8,411
Taarifa zinaeleza kuwa wawakilishi wa Jose Mourinho na wale wa Klabu ya Tottenham wamekuwa kwenye mazungumzo kuhusi jambo hilo

Wanatarajiwa kufikia makubaliano yatakayomfanya Jose Mourinho awe licha mpya wa Tottenham mchana wa siku ya leo

Mauricio Pochettino amefukuzwa kazi kunako Klabu ya Tottenham kutokana na mwenendo mbovu wa timu hiyo katika michezo ya Ligi Kuu Uingereza

Mourinho amekuwa nje ya kazi ya kufundisha soka tangu alipotimuliwa na Klabu ya Manchester United mwezi Desemba 2018

======

Jose Mourinho is understood to be a serious contender for the Tottenham job

Tottenham are in talks with Jose Mourinho to replace the sacked Mauricio Pochettino and both sides believe a deal is close.

Talks continued into Tuesday night, while both sides believe a deal is close and will be concluded by Wednesday. His first game would be at West Ham on Saturday lunchtime.

Mourinho has been out of work since being sacked by Manchester United in December last year



Source: Sky Sports
 
Ngoja tuone mzee wa fitina akiingia hapo hali itakuwaje. Je akinasoni watageuka bus conductors kwenye kupaki bus?
 
Back
Top Bottom