brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Kitendo Cha Manchester United kuendelea kufanya vibaya kumemfanya kocha Jose Mourinho kumuangushia jumba bovu mchezaji wake Paul Pogba. Mara baada ya kutoka sare weekend iliopita. Kocha Mourinho alimuita Pogba mbele ya wachezaji wa zake na kumwambia
" Wewe ni Kama mtu mwenye mafua ndani ya chumba kilichofungwa unasambaza virus kwa wengine, hueshimu wachezaji wenzako Wala mashabiki na unawaangusha watu wazuri waliokuzunguka". Ikiripotiwa na gazeti la telegraph
Mourinho anaamini Pogba ndio kiongozi wa kundi la wachezaji wanaotaka afukuzwa klabuni hapo.
Uhusiano wa Mourinho na Pogba umekuwa ukizorota siku za hivi karibuni
" Wewe ni Kama mtu mwenye mafua ndani ya chumba kilichofungwa unasambaza virus kwa wengine, hueshimu wachezaji wenzako Wala mashabiki na unawaangusha watu wazuri waliokuzunguka". Ikiripotiwa na gazeti la telegraph
Mourinho anaamini Pogba ndio kiongozi wa kundi la wachezaji wanaotaka afukuzwa klabuni hapo.
Uhusiano wa Mourinho na Pogba umekuwa ukizorota siku za hivi karibuni