Mourinho apata kibarua kipya Inter

Kana-Ka-Nsungu

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2007
Posts
2,257
Reaction score
363
Yuel kocha machachari wa Inter amesaini mkataba wa miaka mitatu kukiongoza kilabu bingwa nchini Itali-Inter Milan. Atatambulishwa mbele ya vyombo vya habari na mashabiki kesho. Kwa wapenzi wa Chelsea, kuna habari kwamba Mourinho ameweka wazi kwamba target yake ni kumsajili Michael Essien na huenda Drogba na Lampard wakafuatia japokuwa pia kuna habari kwamba Chelsea wamemuongezea Lamps dau hadi kufikia pounds 130,000/= ili abaki.
 
Daah!! Huu uzi ni wa kitambo sana. Yaani kichekesho
 
Daah!! Huu uzi ni wa kitambo sana. Yaani kichekesho

Kuna shabiki wa brazilian players humu hivyo usishangae. Kila nyuzi za kitambo anafufua alafu zote zinawahusu wachezaji wa brazil.sijui wamemfanyia kazi gani. Jaribu kuchunguza utaliona hilo. BRITANICCA
 
Kuna shabiki wa brazilian players humu hivyo usishangae. Kila nyuzi za kitambo anafufua alafu zote zinawahusu wachezaji wa brazil.sijui wamemfanyia kazi gani. Jaribu kuchunguza utaliona hilo. BRITANICCA
Kwani mourinho wa Brazil???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…