Mourinho on the strongest League btn spain, italy and england



Absolutely ...... ..... nyege zinamsumbua special one ana hamu ya kwenda Manure kwa udi na uvumba ndio kisa hataki Fergi astaafu mwaka huu, lakini umri wa Fergi umekwenda hana ujanja ni lazima abwage manyanga sivyo Manure watakuwa kama jamaa flani hivi.
 

Sasa hivi ligi na Media za UK zinamiss mipasho yake na yeye ana miss challenge naona anasema spain ni kati ya barcelona na Real madrid tu.

Btn thanks
Ule mchapio nimerekebisha unajua tena kanumbas skuli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…