Kamchoreshe shangazi kirusi mbilinyi!!!wakali wanarun town with no stress.....maisha mazuri!tabasamu kila wakati!
ha ha ha ha!!
maisha mazuri ya kujifaliji eeh..wadanganye wasiokujua wanaokuona kwenye luninga.
Unatamani kunijua sana!!!!mjue kijeba mbilinyi ndo utanijua mkali mimi!I run this town....
aya phd nimekubali wewe ndio unarun this town..
Ila punguza kugongea lift unapotoka inakuchoresha sana..ushauri tu!
Kijeba sugu kawachoresha manigga!!!!
Nyie madogo mnao-dochwa hapo kinondoni mna tabu sana,,,,,,,
mbilinyi inabidi askaniwe naye pamba-fuu zake.
mbona hii ligi ya HEMEDI imeisha?????