Watanzania wachache mnataka kuiingiza nchi yetu ktk machafuko wakati hili jambo kwetu ni ndoto na haya yote yanasababishwa na uroho wa madaraka sasa kwa taarifa yenu nyie mnaojiita ukawa kuendesha nchi mstarajie hata chembe mtaishia kubwata kama mbwa alieuona mfupa wa nyama ccm ni ccm tu vyama vingine visubir kwanza
Waanabodi ninakerwa na jambo hili naomba tujadili. Hivi serikali ni nani? Nilidhani ni wananchi ambao wanawakilishwa na bunge?
Kutokana na majadiliano yanayoendelea bungeni kuhusu mikataba ambayo serikali haitaki ijadiliwe sisi kama wananchi ambao tumewachagua wabunge hawa tunapenda kuonyesha msimamo wetu kwa kufanya maandamano ya amani na mkutano mkubwa kutoa msimamo wetu. Mikataba yote ipelekwe bungeni. Sisi wananchi ndio tunasema.
Tanzania kweli ni nchi ajabu sana duniani. Ni kama nchi isio na watu wenye uchungu nchi yao. Jamani mawaziri mnasafiri sana nchi za watu na kuona maendeleo yao. Hivi kweli mna vision kuwa kuna siku Tanzania itaendelea? Ni lazima mfike mahali pa kuona wivu wa maendelo ya nchi siyo yenu binafsi tu. Tafadhali mheshimiwa Mbowe tunaomba uandae mkutano huo na kutoa tamko. Aliye karibu na mheshimiwa tafadhali mpelekee salamu. Msisubiri mpaka wakati wa uchaguzi tu.
" KWA MTAJI HUU NDOTO YA KUWALETEA WATANZANIA WOTE MAISHA BORA NA MEMA HAIWEZEKANI KABISA - IT IS NOT POSSIBLE FULLSTOP"
Sauti za wabunge hawa zisipuuzwe
KAMA kweli wabunge ndio wawakilishi wa wananchi, serikali sasa itaondoa pamba masikioni, itawasikiliza na kutekeleza wanachopendekeza.
Kwa siku nyingi sasa, kilio cha wabunge kuhusu mikataba ya madini na mikataba mingine mikubwa, kimezidi kiwango.
Kilio chao kimevuka mipaka ya kawaida. Kimewagusa hata wale ambao hawakuwa na shauku ya kukisikia.
Wabunge wanataka mikataba ipitiwe. Wanataka kujua kilichomo kwenye mikataba hiyo. Serikali haiwakilishi wananchi. Bunge ndicho chombo cha wananchi.
Wabunge wanapojadili jambo lenye manufaa kwa nchi, wanafanya hivyo kwa niaba ya wananchi wao.
Haiwezekani wabunge wapige kelele za kutaka kupitiwa mikataba, lakini serikali iendelee kuwa jeuri.
Awamu ya Tatu ya uongozi wa taifa hili ilitamba kwa kaulimbiu hewa ya uwazi na ukweli. Hapakuwa na uwazi wala ukweli.
Mikataba ilisainiwa. Wageni wakamilikishwa mali za taifa. Mikataba mingi ya kipuuzi kabisa ikasainiwa. Mzigo wa mikataba hiyo sasa unabebwa na walipa kodi wa nchi hii.
Serikali haikuwa wazi. Ilipuuza maoni ya wananchi, na hata ikafikia hatua ya kuwatisha wabunge waliosimama kidete kuhoji uoza fulani fulani.
Inasikitisha, na kwa kweli inakasirisha, kumsikia leo Rais mstaafu, Benjamin Mkapa, akiunga mkono kupitiwa upya kwa mikataba ya madini!
Yeye ndiye aliyekuwa kinara wa kuponda wote waliohoji mikataba hiyo, hata akafikia hatua ya kuwaita waliohoji kuwa ni wavivu wa kufikiri.
Waandishi wa habari walioandika au kuhoji mikataba hiyo, walionekana si wazalendo, na ni watu wasiokuwa na maarifa yoyote.
Serikali ya Awamu ya Tatu ilijaa ujuaji na ubabe. Net Group Solution walipingwa mno. Watanzania wengi walisimama kuipinga kampuni hiyo na hata wakurugenzi wake ambao wengi walikuwa vihiyo.
Lakini kilichofanywa na serikali ni kuwaita FFU wenye bunduki na gesi za kutoa machozi, kuwasindikiza Wazungu hao hadi ofisini.
Kimsingi yamefanyika mambo mengi ya ajabu katika nchi hii. Ndiyo maana tunasema kilio hiki cha wabunge sasa, lazima serikali ikifanyie kazi.
Miktaba ya kipuuzi, kwa mfano ya kuukodisha Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro kwa dola 1,000 kwa mwaka, ni laana isiyosameheka mbele ya Mola.
Hivi kweli Tanzania kwa utajiri wake ina sababu ya kuomba misaada mingi kama ilivyo sasa? Je, kwa ukwasi uliopo, kuna sababu ya watu kufa kwa magonjwa kama malaria?
Laana ya Tanzania ni nini? Je, si kweli kwamba laana ya Tanzania ni viongozi jeuri na wasioambilika? Kama kweli sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, basi sauti hii ya wabunge lazima iheshimiwe. Serikali ipeleke mikataba bungeni.
Katiba yenyewe hii hapa:
Download your copy
Mhe. Prof. Habari za siku muda wa kupendekeza vipengele au kubadilisha ulishaisha kwa taarifa yako. Kilichobaki sasa ni kura ya maoni ambayo njua kabisa msomi mwenzangu unaelewa nini maana ya kura ya maoni. Kwa hayo ya kwako pamoja na uzuri wake yasubiri sasa kipindi cha ammendments of the constitution.Turudishe kwenye katiba pia kipengele kinachomtaka mshindi wa urais awe na walau nusu ya kura zote zilizopigwa. Sijui kipengele hiki kilibadilishwa kwa manufaa ya nani. Kuna siku tutaongozwa na Rais aliyechaguliwa kwa chini ya asilimia 20. Hata DRC wanatushinda katika hili!
Mzee wa Busara, kinachoudhi na kunikera ni hiki kimbelembele cha waandishi kushangalia na kupiga vigelegele kwa kitu ambacho hakina kichwa la miguu. Kufuatia habari kuwa tume itaundwa na Rais Kikwete amesimamisha mikataba mipya, je watanzania tuna sababu ya kucheka au kulia? Binafsi nasema, tumezugwa tena ili tunyamazishwe. Mimi nitafurahia tume kupitia hii mikataba endapo tu maswali haya yatajibiwa (nisikilize kwenye mwanakijiji.podomatic.com). Nitayarudia hapa kwa kifupi:
a. Tume hii ya kupitia mikataba ina nguvu gani ya kisheria? Je ina uwezo wa kuita mashahidi (subpoena power) na uwezo wa kutoa kinga (immunity power) kwa mashahidi?
b. Je Mhe. Kikwete, Mhe. Edward Lowassa, na viongozi wengine waliokuwa katika nyadhifa mbalimbali wakati mikataba mbalimbali ikiingiwa wako tayari kuja na kuketi mbele ya tume hii huru na kutoa ushahidi wao chini ya adhabu ya kuongopea tume (under the penalty of perjury)
c. Je wale wote (wanasheria na viongozi wa wizara, idara, nk) ambao walihusika katika majadiliano ya mikataba (negotiations) kati ya serikali na mashirika, au makampuni ya kigeni wataitwa mbele ya tume hii na kujibu swali la kama makampuni ya kigeni yaliwapa "kitu kidogo" au asilimia 10 ili waweke vipengele fulani kwenye mikataba hiyo (kujibu swali hilo nashauri watu hao wapewe kinga!)
d. Je bunge letu liko tayari kupitisha sheria inayokataza mara moja kwa kampuni yoyote ya kigeni au ya ndani inayoingia mikataba na serikali ya tanzania au taasisi zake kutoa aina yoyote ya malipo kwa wawakilishi wa serikali kwenye mazungumzo au familia zao, malipo ambayo yanaweza kupotosha utendaji wa haki au uhuru wao wa kufanya kazi yao?
e. Je serikali iko tayari kuvunja mikataba yote (siyo kuifanyia marekebisho tu) ambayo imekiuka sheria za Tanzania au ambayo iliingiwa kwa njia za kilaghai?
Nikisikia majibu ya maswali hayo ndiyo nitajua kama nicheke au nilie, ama sivyo haya yote ni MAZINGAOMBWE!!!!!!
Serikali ni wewe na mimi na wale uliowaweka madarakani wakuongoze. Hivyo unavyoilaumu serikali unajilaumu na wewe piaWaanabodi ninakerwa na jambo hili naomba tujadili. Hivi serikali ni nani? Nilidhani ni wananchi ambao wanawakilishwa na bunge?
Kutokana na majadiliano yanayoendelea bungeni kuhusu mikataba ambayo serikali haitaki ijadiliwe sisi kama wananchi ambao tumewachagua wabunge hawa tunapenda kuonyesha msimamo wetu kwa kufanya maandamano ya amani na mkutano mkubwa kutoa msimamo wetu. Mikataba yote ipelekwe bungeni. Sisi wananchi ndio tunasema.
Tanzania kweli ni nchi ajabu sana duniani. Ni kama nchi isio na watu wenye uchungu nchi yao. Jamani mawaziri mnasafiri sana nchi za watu na kuona maendeleo yao. Hivi kweli mna vision kuwa kuna siku Tanzania itaendelea? Ni lazima mfike mahali pa kuona wivu wa maendelo ya nchi siyo yenu binafsi tu. Tafadhali mheshimiwa Mbowe tunaomba uandae mkutano huo na kutoa tamko. Aliye karibu na mheshimiwa tafadhali mpelekee salamu. Msisubiri mpaka wakati wa uchaguzi tu.
" KWA MTAJI HUU NDOTO YA KUWALETEA WATANZANIA WOTE MAISHA BORA NA MEMA HAIWEZEKANI KABISA - IT IS NOT POSSIBLE FULLSTOP"
Sauti za wabunge hawa zisipuuzwe
KAMA kweli wabunge ndio wawakilishi wa wananchi, serikali sasa itaondoa pamba masikioni, itawasikiliza na kutekeleza wanachopendekeza.
Kwa siku nyingi sasa, kilio cha wabunge kuhusu mikataba ya madini na mikataba mingine mikubwa, kimezidi kiwango.
Kilio chao kimevuka mipaka ya kawaida. Kimewagusa hata wale ambao hawakuwa na shauku ya kukisikia.
Wabunge wanataka mikataba ipitiwe. Wanataka kujua kilichomo kwenye mikataba hiyo. Serikali haiwakilishi wananchi. Bunge ndicho chombo cha wananchi.
Wabunge wanapojadili jambo lenye manufaa kwa nchi, wanafanya hivyo kwa niaba ya wananchi wao.
Haiwezekani wabunge wapige kelele za kutaka kupitiwa mikataba, lakini serikali iendelee kuwa jeuri.
Awamu ya Tatu ya uongozi wa taifa hili ilitamba kwa kaulimbiu hewa ya uwazi na ukweli. Hapakuwa na uwazi wala ukweli.
Mikataba ilisainiwa. Wageni wakamilikishwa mali za taifa. Mikataba mingi ya kipuuzi kabisa ikasainiwa. Mzigo wa mikataba hiyo sasa unabebwa na walipa kodi wa nchi hii.
Serikali haikuwa wazi. Ilipuuza maoni ya wananchi, na hata ikafikia hatua ya kuwatisha wabunge waliosimama kidete kuhoji uoza fulani fulani.
Inasikitisha, na kwa kweli inakasirisha, kumsikia leo Rais mstaafu, Benjamin Mkapa, akiunga mkono kupitiwa upya kwa mikataba ya madini!
Yeye ndiye aliyekuwa kinara wa kuponda wote waliohoji mikataba hiyo, hata akafikia hatua ya kuwaita waliohoji kuwa ni wavivu wa kufikiri.
Waandishi wa habari walioandika au kuhoji mikataba hiyo, walionekana si wazalendo, na ni watu wasiokuwa na maarifa yoyote.
Serikali ya Awamu ya Tatu ilijaa ujuaji na ubabe. Net Group Solution walipingwa mno. Watanzania wengi walisimama kuipinga kampuni hiyo na hata wakurugenzi wake ambao wengi walikuwa vihiyo.
Lakini kilichofanywa na serikali ni kuwaita FFU wenye bunduki na gesi za kutoa machozi, kuwasindikiza Wazungu hao hadi ofisini.
Kimsingi yamefanyika mambo mengi ya ajabu katika nchi hii. Ndiyo maana tunasema kilio hiki cha wabunge sasa, lazima serikali ikifanyie kazi.
Miktaba ya kipuuzi, kwa mfano ya kuukodisha Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro kwa dola 1,000 kwa mwaka, ni laana isiyosameheka mbele ya Mola.
Hivi kweli Tanzania kwa utajiri wake ina sababu ya kuomba misaada mingi kama ilivyo sasa? Je, kwa ukwasi uliopo, kuna sababu ya watu kufa kwa magonjwa kama malaria?
Laana ya Tanzania ni nini? Je, si kweli kwamba laana ya Tanzania ni viongozi jeuri na wasioambilika? Kama kweli sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, basi sauti hii ya wabunge lazima iheshimiwe. Serikali ipeleke mikataba bungeni.
Katiba yenyewe hii hapa:
Download your copy
waanabodi ninakerwa na jambo hili naomba tujadili. Hivi serikali ni nani? Nilidhani ni wananchi ambao wanawakilishwa na bunge?
Kutokana na majadiliano yanayoendelea bungeni kuhusu mikataba ambayo serikali haitaki ijadiliwe sisi kama wananchi ambao tumewachagua wabunge hawa tunapenda kuonyesha msimamo wetu kwa kufanya maandamano ya amani na mkutano mkubwa kutoa msimamo wetu. Mikataba yote ipelekwe bungeni. Sisi wananchi ndio tunasema.
Tanzania kweli ni nchi ajabu sana duniani. Ni kama nchi isio na watu wenye uchungu nchi yao. Jamani mawaziri mnasafiri sana nchi za watu na kuona maendeleo yao. Hivi kweli mna vision kuwa kuna siku tanzania itaendelea? Ni lazima mfike mahali pa kuona wivu wa maendelo ya nchi siyo yenu binafsi tu. Tafadhali mheshimiwa mbowe tunaomba uandae mkutano huo na kutoa tamko. Aliye karibu na mheshimiwa tafadhali mpelekee salamu. Msisubiri mpaka wakati wa uchaguzi tu.
" kwa mtaji huu ndoto ya kuwaletea watanzania wote maisha bora na mema haiwezekani kabisa - it is not possible fullstop"
sauti za wabunge hawa zisipuuzwe
kama kweli wabunge ndio wawakilishi wa wananchi, serikali sasa itaondoa pamba masikioni, itawasikiliza na kutekeleza wanachopendekeza.
Kwa siku nyingi sasa, kilio cha wabunge kuhusu mikataba ya madini na mikataba mingine mikubwa, kimezidi kiwango.
Kilio chao kimevuka mipaka ya kawaida. Kimewagusa hata wale ambao hawakuwa na shauku ya kukisikia.
Wabunge wanataka mikataba ipitiwe. Wanataka kujua kilichomo kwenye mikataba hiyo. Serikali haiwakilishi wananchi. Bunge ndicho chombo cha wananchi.
Wabunge wanapojadili jambo lenye manufaa kwa nchi, wanafanya hivyo kwa niaba ya wananchi wao.
Haiwezekani wabunge wapige kelele za kutaka kupitiwa mikataba, lakini serikali iendelee kuwa jeuri.
Awamu ya tatu ya uongozi wa taifa hili ilitamba kwa kaulimbiu hewa ya uwazi na ukweli. Hapakuwa na uwazi wala ukweli.
Mikataba ilisainiwa. Wageni wakamilikishwa mali za taifa. Mikataba mingi ya kipuuzi kabisa ikasainiwa. Mzigo wa mikataba hiyo sasa unabebwa na walipa kodi wa nchi hii.
Serikali haikuwa wazi. Ilipuuza maoni ya wananchi, na hata ikafikia hatua ya kuwatisha wabunge waliosimama kidete kuhoji uoza fulani fulani.
Inasikitisha, na kwa kweli inakasirisha, kumsikia leo rais mstaafu, benjamin mkapa, akiunga mkono kupitiwa upya kwa mikataba ya madini!
Yeye ndiye aliyekuwa kinara wa kuponda wote waliohoji mikataba hiyo, hata akafikia hatua ya kuwaita waliohoji kuwa ni wavivu wa kufikiri.
Waandishi wa habari walioandika au kuhoji mikataba hiyo, walionekana si wazalendo, na ni watu wasiokuwa na maarifa yoyote.
Serikali ya awamu ya tatu ilijaa ujuaji na ubabe. Net group solution walipingwa mno. Watanzania wengi walisimama kuipinga kampuni hiyo na hata wakurugenzi wake ambao wengi walikuwa vihiyo.
Lakini kilichofanywa na serikali ni kuwaita ffu wenye bunduki na gesi za kutoa machozi, kuwasindikiza wazungu hao hadi ofisini.
Kimsingi yamefanyika mambo mengi ya ajabu katika nchi hii. Ndiyo maana tunasema kilio hiki cha wabunge sasa, lazima serikali ikifanyie kazi.
Miktaba ya kipuuzi, kwa mfano ya kuukodisha uwanja wa ndege wa kilimanjaro kwa dola 1,000 kwa mwaka, ni laana isiyosameheka mbele ya mola.
Hivi kweli tanzania kwa utajiri wake ina sababu ya kuomba misaada mingi kama ilivyo sasa? Je, kwa ukwasi uliopo, kuna sababu ya watu kufa kwa magonjwa kama malaria?
Laana ya tanzania ni nini? Je, si kweli kwamba laana ya tanzania ni viongozi jeuri na wasioambilika? Kama kweli sauti ya wengi ni sauti ya mungu, basi sauti hii ya wabunge lazima iheshimiwe. Serikali ipeleke mikataba bungeni.
Katiba yenyewe hii hapa:
download your copy
hoja yako nimeisoma na ninakushukuru kwa kuandika mambo mengi, nimepitia vizuri nikaona umejaa lawama sana kuliko kutoa solution ya nini kifanyike?sasa ngoja nikusaidie, hizo serikali zote unazoziponda wewe ndizo zilizopata ridhaa kutoka kwa wananchi ili ziwaongoze na si vinginevyo, wangekuwa wamezichoka wasingeendelea kuzichagua ziwaongoze tena na tena.
Kama hupendi hali hii waambie watanzania wasiwachague!!!!
Dawa ya wasanii ni kipiga chini hii katiba pendeka kwa kuipa kuraya ''hapana''