Movie gani kali uliicheki youtube na sisi tuicheki?

Movie gani kali uliicheki youtube na sisi tuicheki?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Youtube kuna full movies nyingi sana. Nyingi za zamani na chache mpya. Ni wewe na bando lako tu, na uzuri youtube haili bando kivile.

Mi napenda kutembelea channel inaitwa Wu Tang collection kuangalia movie za zamani za kichina. Hizo ndiyo huangalia sana.


 
tavuta hiziCHINESE movie nzuri mnoo

A Chinese Torture Chamber Story namba 1 mpk 3

SEX and ZEN namba 1 mpk 3


Forbidden Legend of Sex and Chopsticks 1 mpk 2


daughter of darkness 1993 1 mk 2

Brother of Darkness 1 mpk 2


jin ping mei 1991 1 mpk 4

zipo nyingii

hizo movie za kichina utaenjoy sana ukitaka love story mapigano REALY ya zile themes za zamani utaenjoy sana movie nyingi sana hapo zimechezwa miaka ya 90
km mikito mi ile real yaan nzuri sana

mfano hii
Forbidden Legend of Sex and Chopsticks hii ya 2008 ukimaliza kuangalia hii movie na subtitle ukasikiliza yale maneno yanayozungumzwa ukaelewa utajifunza mengi sana kuhusu tasnia ya mapenzi kuna sehemu anamwambia mwanae nanukuu " MWANAMKE NI KAMA ADUI VITANI ILI USHINDE VITA INAPASWA UJUE UDHAIFU WA ADUI YAKO"
Kwa ufupi napenda CHINESE HISTROCAL ROMATIC MOVIE zilizochezwa 70s 80s 90s huwa naenjoy sana
kuna 1 JACK CHAN kacheza sex boy nimeishau hii hiyo movie inaitwaje ilichezwa miaka 70 huko JAKC CHAN humo anat*omba balaa




ila sijui kama bado zipo au washazitoa ni zamani sana zilikuwepo ni HD now hati miliki nyingi wamezitoa na ukipata haupati HD zikiwa na Subtitle kama zamani
 
Youtube kuna full movies nyingi sana. Nyingi za zamani na chache mpya. Ni wewe na bando lako tu, na uzuri youtube haili bando kivile.

Mi napenda kutembelea channel inaitwa Wu Tang collection kuangalia movie za zamani za kichina. Hizo ndiyo huangalia sana.


The killer..
Da chu yan fat movie niliipendaga sana dah... Maisha yako kasi sana
 
Bila shaka unatumia fiber, bando la kuangalia youtube kwa quality ya kueleweka ni lazima uwe na udugu na ttcl.
Sema nimegundua Youtube si mtandao unaokula bando kabisa. Kama unatumia voda movie moja hata MB 300 hazifiki. Tigo kidogo wanakula kwa kasi. Nao ndiyo wanacheza hapo kwa 300mb
kwa movie. Instagram ndiyo jini mla bando.
 
Back
Top Bottom