Movie Reviews

ukitaka kulia angalia za kidosi kama VEER ZARA ile muvi inatia huruma hadi kupitiliza
Series za kidos za kiboya sana yani series haziishi halafu story inachanganywa na kila aina ya vikorombwoizo kama mihogo, wali, kachumbari, maembe yani vitu havieleweki inaanza hivi inaenda hivi ili mradi tu.
Kama vipi tazama Chuno ya Kikorea. Ila watu mna machozi nitazame series eti nilie haijawahi tokea
 
Kuna hii ya kusikitisha/ kuhuzunisha ila kuhusu kuweza kukuliza sina hakika- ni ya kituruki kwa tafsiri isiyo rasmi "Miracle in the Cell No. 7 celda"
 
Reactions: Lee
Dah nilitaka kukutajia we were soldiers ya Mel Gibson au courage under fire kumbe mtu mwenyewe unalizwa na vitu laini.laini..basi we endelea tu
mkuu ushawahi angalia hiyo Bad Thief Good THIEF?

Hii soldiers na courage under fire zinaliza chief kweliii?
 
mkuu ushawahi angalia hiyo Bad Thief Good THIEF?

Hii soldiers na courage under fire zinaliza chief kweliii?

Naam.. hadi Father, i will take care for you!! Ila sijui why niliziona za kawaida tu.. lkn kawaida tu watu tunatofautiana kiongozi
 
Naam.. hadi Father, i will take care for you!! Ila sijui why niliziona za kawaida tu.. lkn kawaida tu watu tunatofautiana kiongozi
acha nizitafute hizi zako mkuu nione kwann umezipaisha kiasi hicho

nisipolia itabd nkutafute unidunde hata makofi ili nilie kwakweli... ...
 
Nani alipata kuielewa hii movie wajomba THE GUEST 2014 binafsi sikuielewa mpaka leo
Inasimulia hadithi ya askari wa USA aliyeitwa David ambaye anatembelea familia ya Peterson bila kutarajia, akijitambulisha kama rafiki wa mtoto wao ambaye alikufa katika vita huko Afghanistan.
Baada ya kukaa nyumbani kwao kwa siku kadhaa, mfululizo wa vifo hutokea, na binti Anna (Monroe) anamhutumu David anahusuka na vifo hivyo.
 
Wakuu naombeni link nzuri za kudownloadia single movies via phone
 
Binafsi Deception ya Leonard Dicaprio inanichanganya sana
Nahisi inaelewaeka ila inahitaji concetration ya hali ya juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…