Huyu mdada nadhani wengi mnamfahamu..hata kama ni kazi mhh,hizi scene zingeachiwa mateenager
hii kwangu kazi aache tu..
....Tafuta movie inaitwa Jasson Lyrics umuangalie Jada Pinket shughuli anayofanyiwa humo na ni mke wa Will Smith....nadhani ungekuwa ni wewe ungekufa kabisa!!:bowl:
Watu mna wivu kama waarabu,mwenye mke katulia kimya huku nyinyi mnajadili sijui pozi,sijui selemani kinywa wazi mwacheni mtoto wa watu ajitafutie riziki kama mtu huwezi kuhimili mihemko yako usiwahukumu wengine.Mbona vichaa wanatembea uchi na hamsemi au ndo nyie huwa mnawavizia usiku kuwabaka? Huyu kuona hamuwezi kumpata basi kelele kila siku,sio utu huo.
Watu mna wivu kama waarabu,mwenye mke katulia kimya huku nyinyi mnajadili sijui pozi,sijui selemani kinywa wazi mwacheni mtoto wa watu ajitafutie riziki kama mtu huwezi kuhimili mihemko yako usiwahukumu wengine.Mbona vichaa wanatembea uchi na hamsemi au ndo nyie huwa mnawavizia usiku kuwabaka? Huyu kuona hamuwezi kumpata basi kelele kila siku,sio utu huo.
Ukianza kufikiria ngono kwenye set basi hufai kuigiza.
**Ndio maana waigizaji wanaoana wao kwa wao.
Paka mweusi, wewe nimwanaume au mwanamke? Mkeo anashikwa MAT*KO na mapaja na njemba nyingine kisa RIZKI na we unashabikia!!!! dunia ya sasa tuwaachieni nyie wenye nayo, sioni tofauti na mtu kuoa mke anacheza picha za ngono kisa RIZKI (utasema maigizo jamaa kazama ndani anainua na kushusha kiuno!). Kama hauna wivu na mkeo utakuwa na wivu na nani sasa? Wivu ni mapenzi, wewe mke utaona poa mmeo anashkwashkwa na mrembo mwingine na kuskilizia hisia...akirudi home anasema "hiyo ni kazi tu mama"...MWE! MIMI NI MBANTU...KAMA NI USHAMBA NDY UNANISUMBUA WACHA NIBAKI MSHAMBA!
ndio nyie nyie mnaohisi joti ni shoga kisa ameact kishoga...
sijui wenzetu mnaona beyond tunavyoona???
Irene kaza buti mama...be happy mumeo ni mmojawapo ya wanaume wachache wasio na kasumba/understanding...
hawa wanaokutuhumu sitashangaa hata nguo za kuvaa wanawapangia wake zao..kwa wivu..lol:smile-big: