kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,500
- 5,164
Natokea Kanda MaalumTata apo shida nini? Wanaume wengine muraaaa kusoma namba kwao ni kazi ngumu
Kukata govi bila ganzi utaweza tata?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] asante bila shaka na ww una jinsia ya kikeMleta mada nadhani kama sio mchaga ww basi ni small house ya mliyemteu.....mwanaume kamili hauwezi kuwa na maneno ya kike namna hiii!
Sisi kwetu umeme upoNa imeanza patamu.
Stelingi msaidizi jioni hii katoka kusema umeme usipande bei wafanyakazi wake usiku huu wamekata umeme.
Kesho kukikucha sijui itakua imefikia wapi.
HahahahaAdui kuu bw.lowaskapoor
Amen RA. ..na sisi sote. ..hawa watu wamenichekesha sana walahii!Kheri ya Mwaka Mpya
Hapa ninapokaa eneo ambalo naona umeme upo ni Tanhouse, Maisha basement naona taa zao bado zinamulika, Abla Hotel and Apartments, Khana Khazana,Sisi kwetu umeme upo
Niliumisi huu mwandiko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Babakokasomanamba
Mamakasoma
Kwaniniiwee naniiusiiisomee??
Russian Embassy au Switzerland Embassy karibu na Reginal Mengi. ..umeme upoHapa ninapokaa eneo ambalo naona umeme upo ni Tanhouse, Maisha basement naona taa zao bado zinamulika, Abla Hotel and Apartments, Khana Khazana,