Movies gani nzuri kutazamwa na wajasiriamali?

Movies gani nzuri kutazamwa na wajasiriamali?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Mimi siyo mtazamaji sana wa movies, si kwa sababu sipendi, ila ni vipaumbele. Ninapenda zaidi kusoma, hivyo mara nyingi nipatapo nafasi, hutumia kwa kusoma. Ukinikuta natamaza TV, ujue ni ama taarifa ya habari au documentary ya Kisayansi, n.k.

Lakini nimesoma mahala kuwa kuna movies zinazoweza kuhamasisha ubunifu wa kijasiriamali na kibiashara.

Naomba kwa yeyote anayefahamu azitaje movies nzuri zinazoweza kumpa mtu hamasa ya kijasiriamali au kibiashara. Ziwe zimechezwa kwa lugha ya Kiswahili au Kiingereza.

Asante🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
 
Pursuit of happness ya mzee baba Will Smith ni bonge la movie.Kuna kipande kimoja anamuambia mwanae usikubali hata siku moja mtu akuambie huwezi pambana bila kukata tamaa kwa jambo unalo amini utafanikiwa.
 
The founder
Joy
Inside job
Well street
The social
The big short
House of Gucci
The wolf of wall street
The aviator
Gold
The pursuit of happiness
The informati
The corporation
Salute kubwa mkuu🙏

Nilivyoiona hii orodha, nilijikuta nasimama kwa furaha! Sikutarajia.

Ni muda mfupi tu uliopita nilikuwa nikisaka kule QUORA, na wengi walitaja baadhi ya hizo ulizoziorodhesha. Hata niliandika baadhi kwa ajili ya kuzitafuta:
1. THE FOUNDER
2. JOY
3. PURSUIT OF HAPPINESS
THE SOCIAL NETWORK
4. WAR DOGS
5. HACKSAW RIDGE

Nashukuru sana kiongozi. Majibu yako yamenipa hamasa zaidi.

I am on the right track!

Thanks a lot bro🙏
 
Pursuit of happness ya mzee baba Will Smith ni bonge la movie.Kuna kipande kimoja anamuambia mwanae usikubali hata siku moja mtu akuambie huwezi pambana bila kukata tamaa kwa jambo unalo amini utafanikiwa.
Msimuliaji mmoja kule Quora anamnukuu mtajwa akimwambia mwanaye kuwa WATU WASHINDWAPO KUFANYA JAMBO, WATATAKA KUMWAMBIA NA YEYE KUWA HAWEZI.

Nukuu yake kwa English kwa hisani ya mchangiaji wa Quora ni kama ifuatavyo:
"Don't ever let someone tell you that you can't do something. Not even me. You got a dream you got to protect it. When people can not do something themselves, they want to tell you that you can't do it. You want something then go get it! Period"- words by Chris Gardener to his son.

Mchangiaji kutoka Quora anahitimisha kwa kusema, "The film instills entrepreneurs with courage, hope, persistence, and hard work.

Naamini ni movie itakayonifaa. Nitaitafuta leo.
 
Msimuliaji mmoja kule Quora anamnukuu mtajwa akimwambia mwanaye kuwa WATU WASHINDWAPO KUFANYA JAMBO, WATATAKA KUMWAMBIA NA YEYE KUWA HAWEZI.

Nukuu yake kwa English kwa hisani ya mchangiaji wa Quora ni kama ifuatavyo:
"Don't ever let someone tell you that you can't do something. Not even me. You got a dream you got to protect it. When people can not do something themselves, they want to tell you that you can't do it. You want something then go get it! Period"- words by Chris Gardener to his son.

Mchangiaji kutoka Quora anahitimisha kwa kusema, "The film instills entrepreneurs with courage, hope, persistence, and hard work.

Naamini ni movie itakayonifaa. Nitaitafuta leo.
Ni bonge la movie sema nimekuja kushangaa dogo kaja kuwa kama shoga sijui km ni shoga kamili.Ila baba yake alimuonyesha njia ipasavyo sema kaharibika sana maana alikua anakuja vizuri sana.
 
Back
Top Bottom