Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unyama sana. Huna habari na mtu.Kula earphones kula muziki
Kweli kabisa shekhe wanguBinafsi huwa nikikutana na movi za aina hii basi natafuta njia nyingine kuzikwepa. Walioweka kiswahili wananogesha hadi wanaharibu.
Angalau waweke subtitles.
Kwenye VO na subtitling kuna kitu kinaitwa localization. Kuna vinaongezwa ama kupunguzwa kutokana na walengwa.Binafsi huwa nikikutana na movi za aina hii basi natafuta njia nyingine kuzikwepa. Walioweka kiswahili wananogesha hadi wanaharibu.
Angalau waweke subtitles.
Wiki iliyopita, nilibahatika kuiangalia picha moja, inaonyeshwa channel ya "SWAHILI" Jina la hiyo picha siijui, inaonyeshwa kwenye saa nne usiku. Mara kwa mara utasikia MR RAIS, MR RAIS. Sijui ni ya Kifiripino ileeee, lakini imeingizwa lugha ya Kiswahili. Sasa, nikawaona akina mama wanarushiana maneno. Mmoja akasema "labda kama mimi sijatoka……… .. " (aliutaja mkoa mmoja wa Tanzania ,jina nimelisahau). Nilichoka kabisa!Binafsi huwa nikikutana na movi za aina hii basi natafuta njia nyingine kuzikwepa. Walioweka kiswahili wananogesha hadi wanaharibu.
Angalau waweke subtitles.
Inaitwa localization mkuu inafanyika kote kote si kwenye kiswahili tu.Wiki iliyopita, nilibahatika kuiangalia picha moja, inaonyeshwa channel ya "SWAHILI" Jina la hiyo picha siijui, inaonyeshwa kwenye saa nne usiku. Mara kwa mara utasikia MR RAIS, MR RAIS. Sijui ni ya Kifiripino ileeee, lakini imeingizwa lugha ya Kiswahili. Sasa, nikawaona akina mama wanarushiana maneno. Mmoja akasema "labda kama mimi sijatoka……… .. " (aliutaja mkoa mmoja wa Tanzania ,jina nimelisahau). Nilichoka kabisa!
Maneno mengine, yanakuwa hayajasemwa na wahusika!