Movies za Yesu

Movies za Yesu

Ricky Blair

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2023
Posts
463
Reaction score
1,009
Kati ya movies za Yesu ipi ulioikubali sana? Kati ya ile ya 1979 ambayo ilikuwa so popular hadi waliitafsiri kwa kiswahili au the passions of Christ?

Personally me ile ya kwanza ilikuwa nzuri sana but lugha haikuwa halisia kwani Yesu hakuongea kiingereza bali Aramaic ila stori was good na kuvutia na kiswahili kiliwekwa vizuri hadi nvokuja kucheki ya actual English hadi nikaona ya English ndo ilitafsiriwa jinsi nilivyoizoea ya Swahili Km Neria.

But the passions of Christ I thk is more authentic kwani waliongea Aramaic na Kihebrania na wale watawala wa Roma waliongea Latin so it was more accurate and authentic ingawa stori yake ilikuwa kuteswa sana hadi too much Jaman mwanzo mwisho lol. Wakristo mmeonaje?
 
Hii ya kina Mel Gibson, passon of christ ina kelele na fujo nyingi na haina mvuto wa kuitazama. Kuna nyingine starring ni Jimmy Caviazel hiyo haijawa maarufu sana Africa japo nayo ipo kwenye orodha ya sinema za Yesu
 
Kuna ile ya 1977 iliyochezwa na Robert Powell inaitwa Jesus of Nazareth. Ina part 4. Sema hii ya 1979 (Life of Jesus) ina kumbukumbu nyingi sana za maisha

Ukiangalia, unakuwa hauangalii tu movie bali unakumbuka na maisha yako ya utotoni.
 
Hii ya kina Mel Gibson, passon of christ ina kelele na fujo nyingi na haina mvuto wa kuitazama. Kuna nyingine starring ni Jimmy Caviazel hiyo haijawa maarufu sana Africa japo nayo ipo kwenye orodha ya sinema za Yesu
Ya Jimmy Caviezel Ndo iyo iyo passion of Christ ya Mel Gibson mkuu
 
Kati ya movies za Yesu ipi ulioikubali sana? Kati ya ile ya 1979 ambayo ilikuwa so popular hadi waliitafsiri kwa kiswahili au the passions of Christ?

Personally me ile ya kwanza ilikuwa nzuri sana but lugha haikuwa halisia kwani Yesu hakuongea kiingereza bali Aramaic ila stori was good na kuvutia na kiswahili kiliwekwa vizuri hadi nvokuja kucheki ya actual English hadi nikaona ya English ndo ilitafsiriwa jinsi nilivyoizoea ya Swahili Km Neria.

But the passions of Christ I thk is more authentic kwani waliongea Aramaic na Kihebrania na wale watawala wa Roma waliongea Latin so it was more accurate and authentic ingawa stori yake ilikuwa kuteswa sana hadi too much Jaman mwanzo mwisho lol. Wakristo mmeonaje?
Hivi wale walioekti muvi ya Yesu ni mapdri na masista au warevi na wavuta bangi?
 
Daah utoto bhana ile ya 1979 nilijua yule jamaa ni Yesu kweli mpaka nilipopata akili baadae maana kila Ijumaa kuu nilikua naenda kuangalia hiyo movie na yule jamaa mfupi nilijua ni Escarioti wa ukweli...
 
Back
Top Bottom