Moyo kwenda mbio na kuuma ubavu wa kushoto

We kweli k natumia sana hayo makitu na nina miaka zaidi ya 20 siijui maralia pimbi wewe
 

Uko sahihi aisee..
 


''The perfect drug,from the point of view of drug company,is one that doesn't cure people,because people need to take the drug for along period of time in order for it to be profitable''Jerome Burne
 
To a hoja usimpinge mwenzio
 
Ni kiashiria cha heart attack, kapime preasure.
 
Gud gud mkuu. Hata mm nimehis hicho kitu pia
 
Pole sana mkuu, hopefully ulipata msaada. Na ikiwa sivyo then naomba kukuuliza, je, una umri gani? Una historia ya kusumbuliwa na shinikizo la damu ("Presha")? Je, maumivu hayo ya moyo yakoje? Ni kama mtu amekamata moyo anaubana au yanachoma au yakoje? Kwa kiasi kikubwa kuna uwezekano ukawa unasumbuliwa na tatizo la moyo (Heart failure). Fika hospitali kubwa watakufanyia vipimo kuhakikisha na kukupatia matibabu accordingly
 
Na juu ya tatizo la miguu kuwaka moto, je, una historia ya tatizo la kisukari? Ukienda hospitali zipo dawa unazoweza kupewa zikakusaidia na hilo (Pregabalin, Ligaba etc)
 
nilikua na tatizo kama lako miaka 5 nyuma..nilitumia tangawizi na kitunguu swaum nika mix na asali nikawa natumia vijiko viwili mara 2 kwa siku. kwa mwezi mmoja likapotea kabisa
 
Jamani mimi moyo wangu uko upande wa kulia badala ya kushoto vip inaweza kua na madhara?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…