Hiv unaeza kupata mume/mke mwema humu mitandaoni?binafsi inakuwa ngumu kuamini bt kama ukifanikiwa u2pe feedbak labda na wengine watatumia njia kama yako kupata wenzi
Hiv unaeza kupata mume/mke mwema humu mitandaoni?binafsi inakuwa ngumu kuamini bt kama ukifanikiwa u2pe feedbak labda na wengine watatumia njia kama yako kupata wenzi
Upate haja ya moyo wako na Mungu akuepushe na magumegume..
Sawa bibie....all the bestnakushukuru sana hata kwa kupost haya. Binafsi wewe sitakuweza kwani umri umekwenda sana na hao watoto uliozaa wanatosha kabisa. mimi sina nyumba wala gari lakin siyo vigezo vyangu kwa sasa.
Nimeupenda mwandiko wako sana. Ongea na gfsonwin ana walimu wenzake mabachela kibao.habari zenu wanajamvi.
Mimi ni binti wa kike, ambaye moyo wangu u mpweke. kwamara ya kwanza najitokeza jamvini kumtafuta rafiki wa kiume mwenye nia ya dhati ya kuwa na mahusiano ambayo yatalenga kuja kuwa wachumba na hatimaye mume na mke. Kujitokeza kwangu hapa ni kwakua ninaimani na jamvi hili kwamba naweza kumpata GT wa ukweli.
wasifu wangu wa ndani na nje ni kama ifuatavyo.
wasifu wa ndani:-
mtaratibu sana, mwenye huruma, nina nidhamu, siyo mtu wa maneno mengi wala sipendi malumbano, mcha mungu, nina kiasi,ni mstahimilivu na mkarimu.
wasifu wa nje:-
mrefu cm 156, mwembamba kiasi, low cut, natural black, sipend kujipamba kwa mwonekano wavitu vya nje,nadhifu sana, ninajitegemea kimaisha na pia ni leftee.
sifa nyinginezo:-
umri-28 yrs
kazi- mwanajeshi cheo LT
elimu- BAGEN & PGDLP
Dini- mkristo
kabila- chagga(machame)
sifa za mwanaume:-
umri- 30-35 yrs
kazi- yeyote ila awe raia
elimu- degree itapewa kipaumbele
dini- mkristo
kabila-lolote lile.
sifa nyinginezo za mwanaume:-
awe raia ( asiwe mjeda hii ni msisitizo), awe mwenye moyo wa upendo wa hati na ambaye atakubali kunifundisha juu ya kufanya tendo la ndoa. Ila pia ajue hatutafanya tendo la ndoa hadi tufunge ndoa, na binafsi sijawah kufanya kabisa.
Nb- tuwasiliane kupitia pm na pia hatutatumiana picha katika hatua za awali, baada ya kuridhika katika pm ndipo njia nyingine kama email zitafuata na hata kupanga kuonana kwa macho.
"ambaye atakubali kunifundisha juu ya kufanya tendo la ndoa. Ila pia ajue hatutafanya tendo la ndoa hadi tufunge ndoa, na binafsi sijawah kufanya kabisa"
Mmh..kwa kweli hiki kigezo kilinishindaga,eti hadi ndoa??
Sasa let say nimekaa hadin ndoa,then nikakukuta hauko kama unavyosema,itatokea nini??na ndoa za kikristo ni moja tu...haivunjiki kirahisi rahisi...
Mimi mama yeyoo mpaka nilimdunga ujauzito.....maana yake hamchelewi nyie,unasema mpaka ndoa kumbe ulishatoa mimba weee hadi umeng'oa kizazi....
Hadi ndoa ni too risky...labda ningekujua tangu utoto wako,hii ya kimjini mjini..ni ngumu kumesa...
NI MTAZAMO TU WAKUU....
Age is nothing but a number...62 na 28 wapi na wapi jamani khaaa!
b2k all the best dearest!
We saitama_kein mbona hujataja uraia wako?au we sio mbongo?maana hata hilo jina lako tu?halafu kwani umeambiwa anahitaji mtu mwenye watoto wewe?uwe unaelewa anamtaka mwenye mapenzi ya dhati,watoto 5 mama tofauti ni kipimo tosha kuwa kwako mapenzi ya dhati 0.so kiufupi ni kuwa hufai naomba nimjibie dada yangu b2k kwa niaba.Utanitaka mie? Sifa zangu
1. Nina miaka 62 (retired but not tired)
2. Sijawahi kuoa ila nina watoto 5 ( mama tofauti)
3. Ninafanya kazi katika chuo kikuu kimoja dar (kwa contract) kwa mhadhiri msaidizi ( assisstant lecturer)
4. Nina nyumba moja (kigamboni) na nina usafiri wangu binafsi
Nipo tayari kufuata masharti km utasema yes.........
Age is nothing but a number...
ubarikiwe sana kwa upendo wako. ila mtu kama huyu asikuwazishe hata kidogo.We saitama_kein mbona hujataja uraia wako?au we sio mbongo?maana hata hilo jina lako tu?halafu kwani umeambiwa anahitaji mtu mwenye watoto wewe?uwe unaelewa anamtaka mwenye mapenzi ya dhati,watoto 5 mama tofauti ni kipimo tosha kuwa kwako mapenzi ya dhati 0.so kiufupi ni kuwa hufai naomba nimjibie dada yangu b2k kwa niaba.
Nimekuambia cheki naye akuunganishie kwa walimu wenzake mabachela. Au wachezaji wenzake wa volley ball.huyo ni nani ama na wewe unamkuwadia?
Blue G, mie mtanzania...mwenyeji wa Kasulu.....asante kwa mtazamo wako hasi.. ila tahadhali usimkoseshe b2k bahati yake kwa makusudi ili baadae ukaanze ni PM....We saitama_kein mbona hujataja uraia wako?au we sio mbongo?maana hata hilo jina lako tu?halafu kwani umeambiwa anahitaji mtu mwenye watoto wewe?uwe unaelewa anamtaka mwenye mapenzi ya dhati,watoto 5 mama tofauti ni kipimo tosha kuwa kwako mapenzi ya dhati 0.so kiufupi ni kuwa hufai naomba nimjibie dada yangu b2k kwa niaba.