eti eeeeeeeehkwa hiyo ukinganganiwa tu hata kamahupendi unaenda?, duh ngoja nipange mashairi yangu najua huwezi kuchomoka
inategemea na unabebeka? mimi kweli kuna mkaka anataka kunioa ila kweli simpend hata ile ya 0.00000000000000000000000000000000000001.but yuko vizuri kwa kila kitu cause mimi ni mstaarabu nimemkataa ingawa i wish kuwa na rafiki wa kiume.yaye ana shida na mimi nina shida ila he is not my choice ila hapo mtu mwingine si angekubali tu? unaona eeeeh ndo hapo eti miaka mitano unakuja kumwambia mtu sikufeel ni fair jamani? ukweli toka mwanzo ni mzurihabari ndo hiyo
inategemea na unabebeka? mimi kweli kuna mkaka anataka kunioa ila kweli simpend hata ile ya 0.00000000000000000000000000000000000001.but yuko vizuri kwa kila kitu cause mimi ni mstaarabu nimemkataa ingawa i wish kuwa na rafiki wa kiume.yaye ana shida na mimi nina shida ila he is not my choice ila hapo mtu mwingine si angekubali tu? unaona eeeeh ndo hapo eti miaka mitano unakuja kumwambia mtu sikufeel ni fair jamani? ukweli toka mwanzo ni mzuri
kaazi kweli kweli ila kama mtu ananipenda ile ya ukweli nikaona ivo kweli nitabebana nae ila hawa wa kivoda fasta siwezi kulazimishaunajua kuna ile kutosikiliza feeling zako na ukaona ni poa na ukahisi kuwa unampenda, lakini mda unapoenda unakuja gundua ulipotea,
miaka mitano ni michache sana, kuna watu wanakata mpaka kumi na wanabaki kwenye ndoa kwa sababu ya watoto na heshima mbele ya jamii
kaazi kweli kweli ila kama mtu ananipenda ile ya ukweli nikaona ivo kweli nitabebana nae ila hawa wa kivoda fasta siwezi kulazimisha
so utakaa tu sista?hapo ndio mwanzo wa Matatizo, wengi wanasemaga hivyohivyo nitamzooea na tutaendana, sasa mwisho wa siku ukikutana na wa ukweli ndio unakuwa wa kwanza kuvunja uhusiano,
unachagua mara moja tu
so utakaa tu sista?
eti eeeeh ngoja nichukue hatuaunachagua mwanzo na ndio unamaliza, Fata moyo wako mapema, weka shida na matatizo yako nyuma, maana hakuna shida mbaya kama kusononekea mapenzi, unaweza kupewa kila kitu lakini furaha ya moyo ni wewe mwenyewe unajipa
sijuhi mahusiano yako, lakini kwa wewe ungekuwa tayari kusema hata kama mmeishi kwa miaka mitano na zaidi?
ki ukweli kama sijisikii......siwezi kwenda muda mrefu namna hiyo......ndani ya miezi 3......nitakuwa nimeshakueleza.......miaka mitano hapana....ni mingi mno
<br />mapenzi yakweli siku izi hata yapo basi!! ni pochi tuuu!
<br />tatizo watu vinganganizi bwana