Moyo ukikataa unaweza sema kwa mwenzio?

maana yake unaweza fikiri moyo wako uko huku
halafu ukabadilika ukaenda kwa mwingine

nimekupata mkuu, inawezekana watu wengi wako kwenye mahusiano ambayo sio sahihi,
 
maana yake unaweza fikiri moyo wako uko huku
halafu ukabadilika ukaenda kwa mwingine
Ukigundua hivo unatakiwa uchukue hatua gani?
Kujifunza kumpenda huyo mwenza wako?
Kujilazimisha kupenda?
or!?
 
<br />
<br />
izo imani potofu unaonekana unapenda pochi eeeeh?
mie najua kuzitafuta za kwangu, ila huo ndio ukweli usiopingika kwamba watu wanachungulia una nini mfukukoni, nina mifani michache ya maclass mate wangu wa sec walikuwa wanasema kabisa, "mie nimetoka kwenye umaskini siwezi tena kuolewa kwenye umaskini"
 
Ni kweli inatokea hivyo.. Lakini kwa nini watu wanatumia "Moyo" wangu umekataa. Moyo hausemi, moyo ni maumbile. Ukweli kilichokataa ni akili yako ya kichwani.

Kama unakubali kilichokataa kiko kichwani..Basi kumbuka akili kichwani inachangiwa na mawazo. Mawazo yanatokana na Maisha. Mawazo, akili, maisha havigandi.. vinabadilika.. Hivyo kusema imechukua miaka mitano ni uongo!

Ukweli ungesema.. nimebadilika kimawazo....Sina upendo kama wa mwanzo.... Nikiendelea hivi nitakuumiza zaidi....Tuachane!
 
Hapo kwenye red, ina maana kabla ya ndoa ilikuwaje? kwani alilamlazimishwa kufunga naye ndoa au amegundua moyo unakataa baada ya ndoa? hebu na ajichunguze kwa makini huenda yeye ndiye mwenye matatizo, kama anachotaka anapewa kwa muda wote huo, huyo ni ibilisil anataka kusambaratisha ndoa hiyo
 

unajua kuna ile ntamzoea na tutawezana tu,
ndoa nyingi zipo kwenye hali ya kuishi ili mradi kulinda heshima kwenye jamii na kwa watoto,
 
Inatisha ila ni ngumu sana kumwambia mtu ulie kua nae kimapenzi kuwa ulikua umpendi mi ningeshindwa
 

unajua mtu akiandika MY sweetHEART, Corner of my HEART, broken HEART nk huwa zinaeleweka sana na inaonekana kuwa ni normal,
lakini unaposema MOYO maswali kama yako ndio yanajitokeza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…