Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Thanks, It has come at the right time.
Moyo ukijeruhiwa , dawa yake hii hapa
Ukijeruhiwa moyo wako unakuwa very devastating na ukijaribu kuwa sawa tenaaaa can seem almost impossible, unakuwa hauwezi kumwamini mtu tena na sometimes unajiuliza "Is there anybody worthy of loving?" Ni kweli kabisa kama utakuwa muwazi kwako mwenyewe na open yourself up for healing and refrain from bitterness
1. Take time to heal, uhusiano ukiisha ni vizuri ukae single for a bit until you can put all the pieces of what happened
to relationship in perspective. Give youself time to mourn the loss of the relationship and figure what was done.
Time will take away the pain if you just wait it out.
2.Usijilaumu kabisa kuwa uhusiano umekufa, uhusiano umefail sababu wote wawili hamjakubaliana na matakwa yenu
ukijilaumu sana itakupa unnecessary grief, kwa hiyo acha kabisa kujilaumu mwenyewe
3.Ongea na marafiki na ndugu waliokaribu sana na wewe, waeleze kuhusu uhusiano na kilichotokea kwako chote,
Sometimes you are too close to the situation to see what is really going on and close friend and family could
offer a differing opinion...unaweza kuongea hata na watu wazima waliopitia mambo mengi katika maisha na ukapata
ushauri
4.Na usi generalise all relationships eti ziko sawa, hii hata humu kwetu MMU ipo mtu analaumu group fulani na kuwaungani
sha wote,kuwa positive na open to new things, na ujue kuwa watu wote hawafanani kabisa, jua kabisa mtu mwingine
atakayekuja katika maisha yako atakuwa tofauti na hatakuumiza hisia zako kama aliyepita. Ganaralization only keeps
you from ever and forever happiness
5.Believe in love, love is real na ina exist na sababu you had heart broken once haimaanishi itatokea ten kila mara
unapokutana na mtu. kumbuka mtu wako atakayekupenda na kukufanya uwe happy yupo mahala katulia tuli
anasubiria muda tu ufike, Optimism is key
6.Date for the sake of dating. have fun, go out ,screw up and never regret and do not pressure yourself to
find love, Sio kila uhusiano will turn into love. Furahia maisha na watu wengine na u relax your mind and body,
You cant get your heart broken if you just having fun and feeling out the relationship
Ndio wataalam wa saikologia sasa, na unaposema screw sio ile tu uanyofikiri, hilo neno lina maana nyingi mkuuThanks for the tips, nakubaliana na zote isipokuwa hiyo ya sita, maana katika kuscrew up unaweza kujikuta unapoteza hata reputation yako.
Nafikiri jambo la msingi ni kuruhusu pain, maana that is what makes us human, we feel happiness, pain, love.
With time, the pain will go away, only the scar will ramain.
As im going through this, nina imani itanisaidia sana, uko juu gagaMoyo ukijeruhiwa , dawa yake hii hapa
Ukijeruhiwa moyo wako unakuwa very devastating na ukijaribu kuwa sawa tenaaaa can seem almost impossible, unakuwa hauwezi kumwamini mtu tena na sometimes unajiuliza "Is there anybody worthy of loving?" Ni kweli kabisa kama utakuwa muwazi kwako mwenyewe na open yourself up for healing and refrain from bitterness
1. Take time to heal, uhusiano ukiisha ni vizuri ukae single for a bit until you can put all the pieces of what happened
to relationship in perspective. Give youself time to mourn the loss of the relationship and figure what was done.
Time will take away the pain if you just wait it out.
2.Usijilaumu kabisa kuwa uhusiano umekufa, uhusiano umefail sababu wote wawili hamjakubaliana na matakwa yenu
ukijilaumu sana itakupa unnecessary grief, kwa hiyo acha kabisa kujilaumu mwenyewe
3.Ongea na marafiki na ndugu waliokaribu sana na wewe, waeleze kuhusu uhusiano na kilichotokea kwako chote,
Sometimes you are too close to the situation to see what is really going on and close friend and family could
offer a differing opinion...unaweza kuongea hata na watu wazima waliopitia mambo mengi katika maisha na ukapata
ushauri
4.Na usi generalise all relationships eti ziko sawa, hii hata humu kwetu MMU ipo mtu analaumu group fulani na kuwaungani
sha wote,kuwa positive na open to new things, na ujue kuwa watu wote hawafanani kabisa, jua kabisa mtu mwingine
atakayekuja katika maisha yako atakuwa tofauti na hatakuumiza hisia zako kama aliyepita. Ganaralization only keeps
you from ever and forever happiness
5.Believe in love, love is real na ina exist na sababu you had heart broken once haimaanishi itatokea ten kila mara
unapokutana na mtu. kumbuka mtu wako atakayekupenda na kukufanya uwe happy yupo mahala katulia tuli
anasubiria muda tu ufike, Optimism is key
6.Date for the sake of dating. have fun, go out ,screw up and never regret and do not pressure yourself to
find love, Sio kila uhusiano will turn into love. Furahia maisha na watu wengine na u relax your mind and body,
You cant get your heart broken if you just having fun and feeling out the relationship
Sorry MM sijakujibu ki malenga malenga ngoja nijipange
Moyo ulojeruhiwa, kuponywa kwake ni kazi,
Hasa ulodhulumiwa, kutwa hujaa majonzi,
Ule ulosalitiwa, hutiririka machozi,
Moyo ukijeruhiwa, huponywa kwa dawa gani?
Moyo ulojeruhiwa, daima huwa na kovu,
Kila ukishituliwa, huwa kama nyumba mbovu,
Nyumba inapovujiwa, ndivyo uzidi ubovu,
Moyo ukijeruhiwa, huponywa kwa dawa gani?
Moyo ulojeruhiwa, hauishi maumivu,
Huhisi kukataliwa, hukwepa tonesha kovu,
Hofu ya kukatiliwa, huwa kama gari bovu,
Moyo ukijeruhiwa, huponywa kwa dawa gani?
Na. M. M. Mwanakijiji (Sauti ya Kijiji)
Moyo ulojeruhiwa, kuponywa kwake ni kazi,
Hasa ulodhulumiwa, kutwa hujaa majonzi,
Ule ulosalitiwa, hutiririka machozi,
Moyo ukijeruhiwa, huponywa kwa dawa gani?
Moyo ulojeruhiwa, daima huwa na kovu,
Kila ukishituliwa, huwa kama nyumba mbovu,
Nyumba inapovujiwa, ndivyo uzidi ubovu,
Moyo ukijeruhiwa, huponywa kwa dawa gani?
Moyo ulojeruhiwa, hauishi maumivu,
Huhisi kukataliwa, hukwepa tonesha kovu,
Hofu ya kukatiliwa, huwa kama gari bovu,
Moyo ukijeruhiwa, huponywa kwa dawa gani?
Na. M. M. Mwanakijiji (Sauti ya Kijiji)
kuna mijitu huku kitaa inajiita ''the heart breaker'' sijui inafikiri sifa!!
Yote maishaKuumizwa kubaya....nyie acheni,hebu ona hii.....................
THE LIE:The little maiden in the dark room ready to dieBitter and desperate for the denay:Her love squeezed her for the lieThe day and night long, dreams and cryFor she was blinded by the lie:10/02/2005
Uko juu sana malengaUnachosema ni kweli, mzee mwanakijiji
Inaumiza akili, na ni vizuri umehoji
mwanadamu kwa asili, kujeruhiwa hakubali
Moyo ukijeruhiwa, dawa yake kusamehe.
Ni vigumu kuponyeka, ukigoma kuachilia
Nasema kwa uhakika, kwani nimeshuhudia
Wale walofadhaika, waweza kufurahia
Moyo ukijeruhiwa, dawa yake kusamehe
Namkumbuka Asia, jinsi alivyoumizwa
Alipotoswa na kulia, mtaa ulishangwazwa
kathubutu kwachilia, leo moyo umepozwa
Moyo ukijeruhiwa, dawa yake kusamehe
Moyo ukijeruhiwa , dawa yake hii hapa
Ukijeruhiwa moyo wako unakuwa very devastating na ukijaribu kuwa sawa tenaaaa can seem almost impossible, unakuwa hauwezi kumwamini mtu tena na sometimes unajiuliza "Is there anybody worthy of loving?" Ni kweli kabisa kama utakuwa muwazi kwako mwenyewe na open yourself up for healing and refrain from bitterness
1. Take time to heal, uhusiano ukiisha ni vizuri ukae single for a bit until you can put all the pieces of what happened
to relationship in perspective. Give youself time to mourn the loss of the relationship and figure what was done.
Time will take away the pain if you just wait it out.
2.Usijilaumu kabisa kuwa uhusiano umekufa, uhusiano umefail sababu wote wawili hamjakubaliana na matakwa yenu
ukijilaumu sana itakupa unnecessary grief, kwa hiyo acha kabisa kujilaumu mwenyewe
3.Ongea na marafiki na ndugu waliokaribu sana na wewe, waeleze kuhusu uhusiano na kilichotokea kwako chote,
Sometimes you are too close to the situation to see what is really going on and close friend and family could
offer a differing opinion...unaweza kuongea hata na watu wazima waliopitia mambo mengi katika maisha na ukapata
ushauri
4.Na usi generalise all relationships eti ziko sawa, hii hata humu kwetu MMU ipo mtu analaumu group fulani na kuwaungani
sha wote,kuwa positive na open to new things, na ujue kuwa watu wote hawafanani kabisa, jua kabisa mtu mwingine
atakayekuja katika maisha yako atakuwa tofauti na hatakuumiza hisia zako kama aliyepita. Ganaralization only keeps
you from ever and forever happiness
5.Believe in love, love is real na ina exist na sababu you had heart broken once haimaanishi itatokea ten kila mara
unapokutana na mtu. kumbuka mtu wako atakayekupenda na kukufanya uwe happy yupo mahala katulia tuli
anasubiria muda tu ufike, Optimism is key
6.Date for the sake of dating. have fun, go out ,screw up and never regret and do not pressure yourself to
find love, Sio kila uhusiano will turn into love. Furahia maisha na watu wengine na u relax your mind and body,
You cant get your heart broken if you just having fun and feeling out the relationship
Sorry MM sijakujibu ki malenga malenga ngoja nijipange
nafurahi kama umefurahiaUmeiweka vizuri sana!
Moyo ulojeruhiwa, kuponywa kwake ni kazi,
Hasa ulodhulumiwa, kutwa hujaa majonzi,
Ule ulosalitiwa, hutiririka machozi,
Moyo ukijeruhiwa, huponywa kwa dawa gani?
Moyo ulojeruhiwa, daima huwa na kovu,
Kila ukishituliwa, huwa kama nyumba mbovu,
Nyumba inapovujiwa, ndivyo uzidi ubovu,
Moyo ukijeruhiwa, huponywa kwa dawa gani?
Moyo ulojeruhiwa, hauishi maumivu,
Huhisi kukataliwa, hukwepa tonesha kovu,
Hofu ya kukatiliwa, huwa kama gari bovu,
Moyo ukijeruhiwa, huponywa kwa dawa gani?
Na. M. M. Mwanakijiji (Sauti ya Kijiji)