Moyo unadunda kasi nikikumbuka university of bagamoyo!

Moyo unadunda kasi nikikumbuka university of bagamoyo!

PAFKI

Senior Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
116
Reaction score
38
Jamani naomba mnisaidie maana kila nikiona namba mpya inaita kwenye cm yang u nadhani ndio wananiita U/bagamoyo maana napenda sana nikafanye kazi nao,bora nifahamu ili labda nizoee kam walishaita watu waliowachagua.
 
Back
Top Bottom