ndusyepo Senior Member Joined Jul 2, 2013 Posts 165 Reaction score 41 Sep 15, 2015 #1 Jamani mie ninatatizo la kukosa pumzi pindi nitembeapo kwa muda mrefu na hata nikikaa tu najikuta napumua kwa shida na mapigo ya moyo uenda mbio. Tatizo ni nini na tiba ni ipi?
Jamani mie ninatatizo la kukosa pumzi pindi nitembeapo kwa muda mrefu na hata nikikaa tu najikuta napumua kwa shida na mapigo ya moyo uenda mbio. Tatizo ni nini na tiba ni ipi?
Yummie JF-Expert Member Joined Sep 12, 2015 Posts 1,363 Reaction score 1,081 Sep 15, 2015 #2 Una uzito uliokuzidi umri na kimo?