Moyo unanilazimisha kusema!

Komamanga lenye mahaba yake ya kulevyaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘€
 
Hivi wakuu nami sipati katoto ka kukadanganyadanya humu?
 
Hivi wakuu nami sipati katoto ka kukadanganyadanya humu?
Na hapo ndipo ulipoanza kukosea mkuu! Huwezi tafuta totoz huku ukisema kabisa kuwa utamdanganyadanganya..πŸ˜‚

But ndio unaweza kupata lkn nakuonya usije chukua totoz zangu tu nina hakika nitakuroga uzuri mshana si yupo...πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…