hahahhaa aiser we mdada we unanikoshaga sanaaaWazo zuri unaanza kwa kujali..
Ahahaaa atamnunuliaSiku ukijua bodaboda sio yake ulete mrejesho
Na mm pia ni dereva wa Boda boda, ina maana hujaniona au?Moyo jamani moyo!!!
Mwenzenu nimetokea kumpenda Dreva wa Bodaboda hadi najisikia akili inadundadunda.
N mwanamme mpole, ana kamzuzu kwa mbali, mweusi, mnene kiasi, mrefu, akicheka ana kamwanya fulani hivi, jaman jamani mie yaani natamani kila mara nimuone tu japo kwa mbali.
Nimefanya upelelezi wangu, ni miongoni mwa wale watumishi waliopata dhahama ya vyeti feki.
Na yeye ananipenda ila hajawa direct. Jamani moyo huuu.
Nimewaza zawadi ya kumpa ili kuonesha nampenda ila bado sijafikia maamuzi sahihi. Nawaza nikamnunulie yale makoti yao mazito kama manne hivi, au nimnunulie boxer, au nimnunulie kadi.
Hebu nishaurini nimnunulie nini mimi huyu ndugu anayeutesa moyo wangu kama ishara ya kumuonesha kuwa nimekufa na kuoza hadi kunuka juu yake.
MBITIYAZA msaada mwenzio niko hoi kwa bodaboda
Mkatie bima ya afya maana wakipataga ajali uwa wanateseka sana kwa kuchangishana matibabuMoyo jamani moyo!!!
Mwenzenu nimetokea kumpenda Dreva wa Bodaboda hadi najisikia akili inadundadunda.
N mwanamme mpole, ana kamzuzu kwa mbali, mweusi, mnene kiasi, mrefu, akicheka ana kamwanya fulani hivi, jaman jamani mie yaani natamani kila mara nimuone tu japo kwa mbali.
Nimefanya upelelezi wangu, ni miongoni mwa wale watumishi waliopata dhahama ya vyeti feki.
Na yeye ananipenda ila hajawa direct. Jamani moyo huuu.
Nimewaza zawadi ya kumpa ili kuonesha nampenda ila bado sijafikia maamuzi sahihi. Nawaza nikamnunulie yale makoti yao mazito kama manne hivi, au nimnunulie boxer, au nimnunulie kadi.
Hebu nishaurini nimnunulie nini mimi huyu ndugu anayeutesa moyo wangu kama ishara ya kumuonesha kuwa nimekufa na kuoza hadi kunuka juu yake.
MBITIYAZA msaada mwenzio niko hoi kwa bodaboda
mnunulie condomMoyo jamani moyo!!!
Mwenzenu nimetokea kumpenda Dreva wa Bodaboda hadi najisikia akili inadundadunda.
N mwanamme mpole, ana kamzuzu kwa mbali, mweusi, mnene kiasi, mrefu, akicheka ana kamwanya fulani hivi, jaman jamani mie yaani natamani kila mara nimuone tu japo kwa mbali.
Nimefanya upelelezi wangu, ni miongoni mwa wale watumishi waliopata dhahama ya vyeti feki.
Na yeye ananipenda ila hajawa direct. Jamani moyo huuu.
Nimewaza zawadi ya kumpa ili kuonesha nampenda ila bado sijafikia maamuzi sahihi. Nawaza nikamnunulie yale makoti yao mazito kama manne hivi, au nimnunulie boxer, au nimnunulie kadi.
Hebu nishaurini nimnunulie nini mimi huyu ndugu anayeutesa moyo wangu kama ishara ya kumuonesha kuwa nimekufa na kuoza hadi kunuka juu yake.
MBITIYAZA msaada mwenzio niko hoi kwa bodaboda
Siku hizi umeadimika!hahahhaa aiser we mdada we unanikoshaga sanaaa
Umejoin JF 2007 ila bado hubadiliki kuonyesha kupevuka kwako humuMoyo jamani moyo!!!
Mwenzenu nimetokea kumpenda Dreva wa Bodaboda hadi najisikia akili inadundadunda.
N mwanamme mpole, ana kamzuzu kwa mbali, mweusi, mnene kiasi, mrefu, akicheka ana kamwanya fulani hivi, jaman jamani mie yaani natamani kila mara nimuone tu japo kwa mbali.
Nimefanya upelelezi wangu, ni miongoni mwa wale watumishi waliopata dhahama ya vyeti feki.
Na yeye ananipenda ila hajawa direct. Jamani moyo huuu.
Nimewaza zawadi ya kumpa ili kuonesha nampenda ila bado sijafikia maamuzi sahihi. Nawaza nikamnunulie yale makoti yao mazito kama manne hivi, au nimnunulie boxer, au nimnunulie kadi.
Hebu nishaurini nimnunulie nini mimi huyu ndugu anayeutesa moyo wangu kama ishara ya kumuonesha kuwa nimekufa na kuoza hadi kunuka juu yake.
MBITIYAZA msaada mwenzio niko hoi kwa bodaboda
Una kamzuzu? hahahahahaahNa mm pia ni dereva wa Boda boda, ina maana hujaniona au?
kweli kabisa.Thamani ya zawadi haijalishi ukubwa wake bali ni jinsi alivyojali tu lakini wengi wetu hatujui jiandae Kwa yote
Kwa hiyo siruhusiwi kupenda au? moyo dada moyooooo, acha kabisa. Kama wewe ulivyo join 2011 ndio basi hupendi ni wewe, mie damu iko motoo, mpo mdadaUmejoin JF 2007 ila bado hubadiliki kuonyesha kupevuka kwako humu
Atatumia kwa wenginemnunulie condom
hahahahahah, hayaMkatie bima ya afya maana wakipataga ajali uwa wanateseka sana kwa kuchangishana matibabu
kako kwenye kidevu, ahhahahahKamzuzu umekajuaje nako?
hebu shogayangu nieleze kwanza kuhusu huo mzuzu niko much interested na hicho kipengele.Kwa hiyo siruhusiwi kupenda au? moyo baba moyooooo, acha kabisa.
ππ Mzuzu ni nywele/ndevu fulani ambazo ziko kwenye kidevu, anazichonga zinachongoka, sasa zile akigusa nazo tu hata shingoni, walahi! lazima wazungu waamke.hebu shogayangu nieleze kwanza kuhusu huo mzuzu niko much interested na hicho kipengele.
halafu tabia ya kula vitu vitamu mwenyewe bila kunishtua umeanza lini jamani?
aah mi nikajua mzuzu wa chini bna.sasa mzuzu huo una faida gani na wewe acha ujinga ushalogwa weweππ Mzuzu ni nywele/ndevu fulani ambazo ziko kwenye kidevu, anazichonga zinachongoka, sasa zile akigusa nazo tu hata shingoni, walahi! lazima wazungu waamke.