moyo wangu una huzuni kiasi cha kufa




Dear mother,sweet mother please fight for me
Dear friends mama yangu anaumwa saaaaaana please muombeen
i.

Pole smile,.be strong for your mum and 'mtumaini bwana kwa moyo wako wote'..Mungu atatengeneza njia..mama atapona.
 
Pole smile, mwenyezi Mungu amponye na kumpa nafuu kwa jina la yesu amen.
 
Bebii pole sana my dear Mama atapata nafuu na kurudi katika hali yake ya kawaida Im praying for her.

Pole sana
 
kweli nimeamini jf ni marafiki wa ukweli leo nimeamka na courage ya ajabu
nawashukuruni kwa upendo wenu na kwa ukarimu wenu wa kunitia moyo
mungu awabarikini saaana
 
kweli nimeamini jf ni marafiki wa ukweli leo nimeamka na courage ya ajabu
nawashukuruni kwa upendo wenu na kwa ukarimu wenu wa kunitia moyo
mungu awabarikini saaana
Tubarikiwe sote mamito,
Vp mama anaendeleaje?
 
Ohh so sad Smile!! I can imagne how sad you are!!! We pray for her to have a quick recovery!
Be strong,keep on praying, our God is always faithful!
 
Be strong friend god will make it for u i'm praying for your mother
 
Pole smile 2tazidi kuombeana vp mama anaendeleaje kwa sasa?
 
pole smile,pole na kwa mama pia,I wish her quick recovery,God bless and heal her.
 
Pole sana smile, tunamuombea bimkubwa apone haraka.
 
Smile if you dont mind Mama anasumbulkiwa na nini? kapata msaada? How can we help?
 
Thread wala sikuielewa kama nilivyoisoma baadaye.. A broken heart...
Mpe mama pole... Inshaallah,atarudia uzima wake..
 
Eeh Mungu mimi sina chakuongeza wala kupunguza ila umeyasikia yote waliyonena na kuomba wajoli wako nami natumaini utazimimina baraka zako na mkono wa uponyaji kwa mama yake Smile ili jina lako litukuzwe milele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…