Huyu ni mtoto wa mkurugenzi wa usalama wa taifa wakati wa tukio...MZEE CORNEL APSON MWANG'ONDA
Interesting! Lakini kwa kumbukumbu zangu, aliyekuwa mbunge wa kuteuliwa wakati ule alikuwa anaitwa Tom Mwang'onda. Sasa huyu Tom ndiye huyo huyo Benson Mwang'onda? Naomba ufafanuzi please!