Mpaka fulani!!


Nyama ya bucha moja moja ni tofauti na nyama ya buacha nyingine. ukigundua kwenye bucha ya mwarabu kuna nyama nzuri safi na tamu basi huna sababu yoyote ya kuhamia bucha nyingine. Matokeo yake ndiyo hayo ya kuhangaika huku na kule. Ukinunua nyama kwenye bucha ya mwarabu appetite bab kubwa unakula wala husazi, lakini ukienda bucha nyingine basi unagusagusa tu na appetitte inapotea haraka sana. Kazi kwako!
 
Mpwa ulikua unamskia pepo wa ngono tu, sasa ndo huyooo unae mpwa!
 
Rose unanifurahisha kitu kimoja,huwa unasema ukweli. Ila sasa huyo mchumba wa nursery siku mkikutana,ndoa kwishnei.Omba Mungu nae awe ana tatizo hili la KakaKiiza la sivyo inakula kwako.
 
tafuta unayempenda utulie naye,kwa nini unakua na wengi,huo ni uasherati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…