ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Wakuu leo asubuhi nilikuwa na hamu na zaga sasa nikamcheki mtoto akasema jioni jioni atakuja.
Si ndio kuja kuingia JF kukutana na mastori ya town eti Kodi ya uzalendo aisee roho ikapasuka nahisi nimepata pressure ya kushuka lengo lao sio zuri hakuna Tena matumaini.
Biashara zitazidi kuyumba ajira sidhani kama watatoa na kwa sababu wabongo wanapenda kick kwa mambo nonsense basi watatu diverge kwenye ishu nyingine.
Basi yaani hapa nilipo tumbo limelegea hata papuchi sina arosto nayo Tena sitaki hata huyo mwanamke aje.
Si ndio kuja kuingia JF kukutana na mastori ya town eti Kodi ya uzalendo aisee roho ikapasuka nahisi nimepata pressure ya kushuka lengo lao sio zuri hakuna Tena matumaini.
Biashara zitazidi kuyumba ajira sidhani kama watatoa na kwa sababu wabongo wanapenda kick kwa mambo nonsense basi watatu diverge kwenye ishu nyingine.
Basi yaani hapa nilipo tumbo limelegea hata papuchi sina arosto nayo Tena sitaki hata huyo mwanamke aje.