Mpaka lini jamani...???

Mpaka lini jamani...???

St. Paka Mweusi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2010
Posts
7,956
Reaction score
5,149
katuni-majira-10-12-20101.jpg
 
Mpaka tutakapoweka viongozi wenye kujali maslahi ya nchi madarakani!
 
mpaka hicho kifurushi ndani ya nyumba kitakapoisha..., hapo ndio hata pa kukimbilia patakosekana
 
Mpaka siku tukiacha kua omba omba au siku tukiishiwa na RASILIzisizoMALI!
 
mpaka geita,kahama na kwwigineko kubaki mahandaki
 
Mpaka aliyetuloga atakapofufuka na tumwombe msamaha mana si mnajua aliyetuloga alishakufa?
 
Mpaka tutapo Re-think,
Uchaguaji wetu wa viongozi.
 
Mpaka tutakapoandamana nchi nzima kuelekea Ikulu na nyumbani kwa Mwema:sick:
 
Back
Top Bottom