Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Nimekusoma mkuu ila siwezi kuchangisha hapaKwa huo uhuni wako nadhani hata hapa jukwaani unaweza anzisha mada ambayo utatunga ili mradi upate changizo la pesa toka kwa wadau wa humu. Hebu badili tabia yako utakufa kabla ya wakati wako na ukaacha familia iteseke....hebu ridhika na ulicho nacho usipende kujikweza watoto waone baba ni malaika hawezi kosa kitu!!!
umeandika nini sasa mrs bashite himself? full kukurupuka
panic at your own risk mr madam! eti unavaa designer! koromije kuna designer gani kwa mfano! get well soonAlosto mkubwa wewe, ungekuwa unajua maisha yalivyo husingeandika upupwum kumbe ndivyo ulivyo duh, pita huko njia zetu sio sawa kabisa. Duh shaaaaaaaaaaaaa kaa nao huko huko....
Mkuu we acha simu nilimuachia mama watotoUmepigwa hizo nguvu za kuingia humu umezipataje? Simu ilinusurikaje?
mtoto wa chini ya miaka mitano anajua nguo mpya au ya zamani?
lazima kuwanunulia siku ya sikukuu?
lazima muende kkoo?