Avatar yako na swali ulilouliza vinaendana kabisa...hili neno lina maana gani?
ukila unashiba?
nakumbuka mama yangu kila mara alikuwa anatuambia sisi bado wadogo, kwa hiyo kila mkaka nilikuwa namwambia "mimi bado mdogo".................
wengine wakifikwa shingoni wananicharua............ "UZEE wote huo unajiita mtoto; unafikiri kuna kengele ya kukushtua umekua?"
Wengine tulikuwa tunapewa since Standard 5
Duu nilipata tabu sana lakini huwezi jua Mungu alikua ananinusuru na nnnakumbuka mama yangu kila mara alikuwa anatuambia sisi bado wadogo, kwa hiyo kila mkaka nilikuwa namwambia "mimi bado mdogo".................
wengine wakifikwa shingoni wananicharua............ "UZEE wote huo unajiita mtoto; unafikiri kuna kengele ya kukushtua umekua?"