Mpaka sasa katika VPL; Takwimu zinaongea.

Tunaomba uandike tena hizo takwimu halafu tutajie mashabiki wenzio wamchangani tuwajue kabisa inaonekana hapa JF wewe tu mshabiki wa timu ya mchangani
Mkuu, hizo takwimu sina. Kama unazo unaweza kuziandika.
 
Yanga wameamua kuleta kocha wa kufundisha mpira maana huyu mzungu alibebwa na matokeo ya kununua mechi sasa naona bosi wao amechoka kununua kaamua kuleta kocha mpya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…