Pre GE2025 Mpaka sasa ni CCM pekee ndiyo iliyojiaandaa kikamilifu kwa uchaguzi mkuu wa kihistoria Oktoba 2025

Pre GE2025 Mpaka sasa ni CCM pekee ndiyo iliyojiaandaa kikamilifu kwa uchaguzi mkuu wa kihistoria Oktoba 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Wakati vyama vingine vya kisiasa viko usingizini na vingine vikibabaika na mjadala wa kuunganisha nguvu ama laa, Chama Cha Mapinduzi CCM tayari kimeshakamilisha maandalizi muhimu ya ndani kuhusu uchaguzi huo wa oct.2025.

Ni suala la muda tu wa kisheria na kikatiba ndio unasubiriwa.
Na hii ni ishara ya wazi na maandalizi kabambe ya ushindi wa kishindo mathalani kwenye nafasi ya urais, ambayo tayari mgombea urais Dr.Samia Suluhu Hassan na mgombea mwenza wake Dr.Emmanuel Nchimbi, wanafahamika kwa waTanzania wote, wanakubalika na kuaminika kwa wananchi kuliko mwanasiasa yeyote nchini Tanzania.

Kwa kwa uzoefu wako katika siasa za Tanzania, na kwa kuzingatia hali ya siasa na kukubalika kwa wagombea hao makini wa chama tawala, unadhani CCM inaweza kupata ushindi wa chini ya 90% kweli kwenye uchaguzi wa Oct 2025?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Wakati vyama vingine vya kisiasa viko usingizini na vingine vikibabaika na mjadala wa kuunganisha nguvu ama laa, Chama Cha Mapinduzi CCM tayari kimeshakamilisha maandalizi muhimu ya ndani kuhusu uchaguzi huo wa oct.2025.

Ni suala la muda tu wa kisheria na kikatiba ndio unasubiriwa.
Na hii ni ishara ya wazi na maandalizi kabambe ya ushindi wa kishindo mathalani kwenye nafasi ya urais, ambayo tayari mgombea urais Dr.Samia Suluhu Hassan na mgombea mwenza wake Dr.Emmanuel Nchimbi, wanafahamika kwa waTanzania wote, wanakubalika na kuaminika kwa wananchi kuliko mwanasiasa yeyote nchini Tanzania.

Kwa kwa uzoefu wako katika siasa za Tanzania, na kwa kuzingatia hali ya siasa na kukubalika kwa wagombea hao makini wa chama tawala, unadhani CCM inaweza kupata ushindi wa chini ya 90% kweli kwenye uchaguzi wa Oct 2025?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Nyie mnaopeleka matumbo yenu mbele ya maslahi ya watanzania mnafurahia hayo.
 
Ninyi machawa, endeleeni kumdanganya mama ushungi. Nipo hapa makao makuu ya CCM mkoa Wa mpakani na Mozambique, watu hawataki hata Kuona picha yake.
 
Nyie mnaopeleka matumbo yenu mbele ya maslahi ya watanzania mnafurahia hayo.
we mwenye maslahi na no reform no elections endelea kuuchapa usingizi wa pono, but kumbuka uchaguzi mkuu ni Oct 2025🐒
 
Wapinzani mwaka huu wasitie nguvu kabisa katika uraisi,waweke nguvu kubwa kuwa na wabunge na madiwani wengi.
2025,Samia Raisi Tena
maono yamewapitia mbali kiburi na kususa chaguzi ndiyo kipaumbele chao 🐒
 
Ninyi machawa, endeleeni kumdanganya mama ushungi. Nipo hapa makao makuu ya CCM mkoa Wa mpakani na Mozambique, watu hawataki hata Kuona picha yake.
si uende Mozambique sasa gentleman unang'aa macho tu na kujaribu kuundindia ukweli ukweli mtu juu ya uchaguzi mkuu wa Oct 2025?🐒
 
CHADEMA ndio kwanza wanajifuta majasho na mavumbi baada ya kunyukana kwenye kwenye uchaguzi wao. Wenzao CCM wameishakimbia wako hatua nyingi mbele ya wakati wa kampeni. Hawaachi kutumia kila fursa inayojitokeza wanafanya kampeni mpaka kwenye mikusanyiko ya misiba na sherehe. Kwenye haya maadhimisho ya miaka 48 ya kuzaliwa CCM wamekazana kupiga kampeni kisawasawa wakati vyama vingine vimelala usingizi wa pono mpaka wakati wa kampeni ndio vizinduke
 
CHADEMA ndio kwanza wanajifuta majasho na mavumbi baada ya kunyukana kwenye kwenye uchaguzi wao. Wenzao CCM wameishakimbia wako hatua nyingi mbele ya wakati wa kampeni. Hawaachi kutumia kila fursa inayojitokeza wanafanya kampeni mpaka kwenye mikusanyiko ya misiba na sherehe. Kwenye haya maadhimisho ya miaka 48 ya kuzaliwa CCM wamekazana kupiga kampeni kisawasawa wakati vyama vingine vimelala usingizi wa pono mpaka wakati wa kampeni ndio vizinduke
gentleman,
kumbe unajua kusema ukweli wenye maono vizur namna hii kisiasa?

well done 👍 💪
 
Mtu asije akalalamika kaibiwa kura wakati anaona mwenzake anafanya kampeni kujipendekeza kwa wananchi. Hawa CCM na vyama vingine waruhusu wanachama wao wenye kutaka ubunge na udiwani waanze patashika za kujipendekeza kwa wapiga kura za ndani na nje hata kama bunge na baraza la madiwani halijavunjwa, iwe rukhsa kujipitisha pitisha kwa wanachama na wananchi waanze kutambua mapema nani atawafaa
 
Mtu asije akalalamika kaibiwa kura wakati anaona mwenzake anafanya kampeni kujipendekeza kwa wananchi. Hawa CCM na vyama vingine waruhusu wanachama wao wenye kutaka ubunge na udiwani waanze patashika za kujipendekeza kwa wapiga kura za ndani na nje hata kama bunge na baraza la madiwani halijavunjwa, iwe rukhsa kujipitisha pitisha kwa wanachama na wananchi waanze kutambua mapema nani atawafaa
utaratibu ni muhimu ukafuatwa gentleman,

ikiwa ni hivyo nani atajadili na kupitisha bajeti ya nchi bungeni?
Maana hakuna anependa kung'aa macho tu hali ya kua wengine wanajipitisha kwa wajumbe,

infact,
hata ukijipitisha, una uhakika gani wa kupitishwa kwenye tatu bora ili hatimae upate fursa ya kujinadi mbele ya wajumbe?🐒
 
Back
Top Bottom