Mpaka wa Uganda, Rwanda hatimaye wafunguliwa

Mpaka wa Uganda, Rwanda hatimaye wafunguliwa

John Haramba

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2022
Posts
365
Reaction score
1,374
Shangwe limeibuka kwa wakazi wa Rwanda na Uganda baada ya mpaka Gatuna unaotenganisha nchi hizo, kufunguliwa rasmi leo Jumatatu.

Mpaka huo uliopo wilaya ya Gicumbi ulifungwa mwaka 2019 kutokana na maelewano mabovu baina ya nchi hizo mbili ambazo ni majirani.


===========================================

Effective Monday, March 7, the government of Rwanda will reopen all its land borders.

The decision was reached during the cabinet meeting that convened on Friday, March 4 with an agenda of assessing the existing Covid-19 measures, among other issues.

"Land borders shall reopen starting Monday March 7th but people must be subject to random Covid-19 testing by the Ministry of Health upon entry," read the meeting communique issued by the Prime Minister's Office.

Rwanda's border with the Democratic Republic of Congo had been open while the former's frontier with the eastern Tanzania had been closed, as per the Covid-19 East African protocols.

On the other hand, Rwanda's Southern border with Burundi had been closed for almost seven years, after the sister nations' relations became icy in 2015.



Source: Allafrica

FNQAtgLXIAIXLSD.jpg
 
Back
Top Bottom