Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
kijijini kuna raha bhana mjini kuchunana tuKijijini pesa haitumiki kabisa, 2013 nlipokua kijijini yani kwenye mshahara natoa elf 30 tu na kaa nayo ndani mwezi mzima, ila mjini eeehhh napumulia mashine
Ila mjini raha bana
Bush hakuna Batakijijini kuna raha bhana mjini kuchunana tu
Wewe ujui unajua dating za kisimani???Bush hakuna Bata
Mbona wapo mpaka majogoo mangombeBush hakuna Bata
Pesa Haitumiki!? Si Kijijini kwetu ukifika tu bass wanakijiji esp. ndugu wanaanza kupresent matatizo yao, wanashinda na wewe hapo kwako asbh-jioni... Gharama Tele.Kijijini pesa haitumiki kabisa, 2013 nlipokua kijijini yani kwenye mshahara natoa elf 30 tu na kaa nayo ndani mwezi mzima, ila mjini eeehhh napumulia mashine
Ila mjini raha bana
Mi nlikokua nlikua naishi peke angu hakuna wa kuniomba hela, yani elf 30 mwezi mzima,Pesa Haitumiki!? Si Kijijini kwetu ukifika tu bass wanakijiji esp. ndugu wanaanza kupresent matatizo yao, wanashinda na wewe hapo kwako asbh-jioni... Gharama Tele.
Na makitimotoMbona wapo mpaka majogoo mangombe
hahahah!! umegonga penyewe hii thread haitachangiwa tena!!Kijijini hakuna upungufu wa nguvu za kiume
Madem wa buza nao washakua wajanja sio wale wa enzi hizo unamnyang'anya kanga au bangili zake unaenda nazo geto akizifata unambandua, mabadiliko yamewafikiaWewe ujui unajua dating za kisimani???
Demu mpaka anaunguza chakula amebanwa na verse huku anagoa majani mdogo mdogo.
Aawapi jasiri aachi asili kuliwa kuko pale pale! Ukitoka town ni vita ya vimwana ukitua village na laki utakula mademu wote wa kijiji huku wakipewa 2000. Town mnataka mkahongwe 50000 mlalo mmoja tuuh..Madem wa buza nao washakua wajanja sio wale wa enzi hizo unamnyang'anya kanga au bangili zake unaenda nazo geto akizifata unambandua, mabadiliko yamewafikia
Ndo ujue kuna tofauti ya mjini na kijijini mi nmekuambia kijijini buku 30 mwezi mzima mjini hiyo buku 30 hata siku moja haitoshi, umpe mtu buku mbili akanunue parachichi au unampa ya niniAawapi jasiri aachi asili kuliwa kuko pale pale! Ukitoka town ni vita ya vimwana ukitua village na laki utakula mademu wote wa kijiji huku wakipewa 2000. Town mnataka mkahongwe 50000 mlalo mmoja tuuh..
Buku 2 anakula na kulewa kabisa km ni mlevi..! Parachichi, ndizi, mapera na matunda mengine hayauzwi kijijini kwetu..! Wengi huwa wananunulia mafuta ya rays&mamys yale ya mgando..! Au chupi za book.Ndo ujue kuna tofauti ya mjini na kijijini mi nmekuambia kijijini buku 30 mwezi mzima mjini hiyo buku 30 hata siku moja haitoshi, umpe mtu buku mbili akanunue parachichi au unampa ya nini