Inspector Abdala
New Member
- Oct 20, 2021
- 2
- 0
Naisaidia serikali ya awamu ya sita chini ya Mama Samia na Waziri Umy Mwalimu kama waziri wa TAMISEMI.
Inadaiwa Halmashauri ya Mpanda, kuna jamaa anaitwa NYACHIA KUNJU, huyo jamaa anaimiliki IDARA ya manunuzi hasa kwenye miradi iliyochini ya Idara ya Afya na Elimu. Anaamua nani apewe kazi nani asipewe kazi.
Nyachia Kunju inadaiwa anachukua rushwa kwa kila mzabuni akihaidi kazi hii na kazi ile. Tena anasema kabisa " sijaja kushangaa nimekuja kutafuta pesa hapa". Anazunguka na kukopa kwa wazabuni mbali mbali akihaidi kuwapa tenda.
Inadaiwa ilifika mahali akaamua kutengeneza biashara na kuisajili GPSA na kuiita KATYASHO na kutaka kujigawia zabuni zote. Bila taasisi flani kumshtua mkurugenzi wa Manispaa alikuwa anafanikiwa jaribio lake.
Inadaiwa Nyachia Kunju alijigawia kazi ya kuuzia chakula shuleni Mpanda Girls na Rungwa Secondary kinyume kabisa na maamuzi ya kikao cha tathimini ya zabuni.
Nyachia Kunju alikataliwa na DMO Dr. Mahenge (R.I.P)kusimamia zabuni zote zilizo chini ya idara ya Afya Mpanda Municipal.
Nyachia Kunju ni mfano wa watumishi wachache wa serikali ambao wanarudisha nyuma jitihada za serikali.
Naomba waziri wa Tamisemi dada Ummy Mwalimu na mkuu wa Mkoa wa Katavi mfuatilie swala la mtumishi wako huyu ili umchukulie hatua sahihi.
Inspector Abdala.
Inadaiwa Halmashauri ya Mpanda, kuna jamaa anaitwa NYACHIA KUNJU, huyo jamaa anaimiliki IDARA ya manunuzi hasa kwenye miradi iliyochini ya Idara ya Afya na Elimu. Anaamua nani apewe kazi nani asipewe kazi.
Nyachia Kunju inadaiwa anachukua rushwa kwa kila mzabuni akihaidi kazi hii na kazi ile. Tena anasema kabisa " sijaja kushangaa nimekuja kutafuta pesa hapa". Anazunguka na kukopa kwa wazabuni mbali mbali akihaidi kuwapa tenda.
Inadaiwa ilifika mahali akaamua kutengeneza biashara na kuisajili GPSA na kuiita KATYASHO na kutaka kujigawia zabuni zote. Bila taasisi flani kumshtua mkurugenzi wa Manispaa alikuwa anafanikiwa jaribio lake.
Inadaiwa Nyachia Kunju alijigawia kazi ya kuuzia chakula shuleni Mpanda Girls na Rungwa Secondary kinyume kabisa na maamuzi ya kikao cha tathimini ya zabuni.
Nyachia Kunju alikataliwa na DMO Dr. Mahenge (R.I.P)kusimamia zabuni zote zilizo chini ya idara ya Afya Mpanda Municipal.
Nyachia Kunju ni mfano wa watumishi wachache wa serikali ambao wanarudisha nyuma jitihada za serikali.
Naomba waziri wa Tamisemi dada Ummy Mwalimu na mkuu wa Mkoa wa Katavi mfuatilie swala la mtumishi wako huyu ili umchukulie hatua sahihi.
Inspector Abdala.