Elections 2010 Mpanda kati-makamu mwenyekiti chadema

Maswi

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
932
Reaction score
211
kuna mwenye matokeo ya mpanda kati ambapo makamu mwenyekiti wa CHADEMA anatetetea jimbo lake hilo au bado CCM wanachakachua au wamehairisha uchaguzi jimbo hilo?
WANAJF naombeni majibu.
 
Uchaguzi uliahirishwa mkuu sababu masanduku yalichelewa kufika.
 
Uchaguzi uliahirishwa mkuu sababu masanduku yalichelewa kufika.

Wajinga wanataka kulichukua hilo kama ilivyo Tarime. Wangeahirisha kwa siku moja na sio mpaka leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…