KERO Mpanda: Kaya kadhaa mtaa wa Kilimahewa zilirukwa na mradi wa umeme, tumefuatilia kwa muda mrefu bila mafanikio

KERO Mpanda: Kaya kadhaa mtaa wa Kilimahewa zilirukwa na mradi wa umeme, tumefuatilia kwa muda mrefu bila mafanikio

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Nipo Mpanda mjini, Kata ya Shanwe, mtaa wa Kilimahewa. Kuna eneo kama kaya 40 au 50 zilirukwa na Umeme muda mrefu, na hili suala ni muda wananchi wamejaribu kulifuatilia, hadi engineer alishakuja ila hakuna mrejesho ni kalenda tu na hali tumezungukwa na umeme.

But inasemekana allocation za huu mradi zilishafanywa muda mrefu ila sasa hakuna kinachoendelea.

Wananchi wameachwa bila msaada kwa muda mrefu

Tutasaidikaje?
 
Back
Top Bottom